Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,796
- 90,622
Gram ya gold bei inaanzia 90,000/= mpaka 120,000/= inategemea duka la sonara lipo kitaa au kwenye mall. Pia kuna made in Tanzania na Dubai finishing.Akaulizie kwa masonara huko,mfuko wake utaamua.
Mimi mara ya mwisho kuulizia gold ilikuwa 1 gram= 75,000/ Tshs mwaka jana.