ze big
JF-Expert Member
- Apr 27, 2015
- 382
- 350
Habari wadau.
Kumekuwa na mtandao wa vodacom Tanzania kuunga wateja wake kwa kuwabambikia huduma ya mdundo na kupelekea kukata watu salio la muda wa maongezi.
Hii huduma binafsi nimekuwa nikiungwa pasipo kujiunga kwa zaidi ya mwaka sasa nikiwasiliana na hao huduma kwa wateja wanadai nimejiunga licha ya kuwaambia wanitoe baada ya mwezi inajirudia tena na kukatwa salio langu. Je hii ni mimi pekee ama ni kawaida ya mtandao huu maana nkmechoshwa na huu wizi wa wazi
Kumekuwa na mtandao wa vodacom Tanzania kuunga wateja wake kwa kuwabambikia huduma ya mdundo na kupelekea kukata watu salio la muda wa maongezi.
Hii huduma binafsi nimekuwa nikiungwa pasipo kujiunga kwa zaidi ya mwaka sasa nikiwasiliana na hao huduma kwa wateja wanadai nimejiunga licha ya kuwaambia wanitoe baada ya mwezi inajirudia tena na kukatwa salio langu. Je hii ni mimi pekee ama ni kawaida ya mtandao huu maana nkmechoshwa na huu wizi wa wazi