Askari wa usalama barabarani sasa wanakusanya mapato na si kuangalia usalama

Inakera na inaudhi kuwa wengi barabarani na kila mmoja ana EFD mashine haisaidii kujenga nidhamu. Nguvu mnayotumia kukusanya mapato kushindana na TRA haisaidiii kuweka nidhamu barabarani.

Baadhi ya sehem mmekuwa chanzo cha kero kwa kusababisha foleni zisizo za lazima na sehemu zingine mmesababisha ajali kwa sababu tu mnajisikia kusimama popote na kusimamisha gari mnalotaka.

Hebu tumieni zile ethics mnazofundishwa darasani na chuoni jamani nchi haiendi hivi. Hebu mjipange jamani sidhani kukusanya pesa kwenu ni sifa bali sifa iwe nidhamu barabarani na ajali kupungua sio mnakuwa chanzo cha kero.
Wiki iliyopita nilikua nikitokea maeneo ya pugu naelekea Gongo la mboto kuna mahali nilikwaa shimo barabarani kubwa kidogo likanipasulia tairi nilipobadili tairi nikaja kuhamaki mkanda wa kwenye gari yaani safety belt upande wa abiria umejikaza na kwakua sikua nimepakia mtu mwingine niliendelea na safari. kabla sijafuka gongolamboto mwisho nilikutana na askari wa usalama barabarani wakanisimamisha na nikatii. Wakaanza kukagua gari yangu yote pasipo kukuta kosa lolote wakadai niwafungulie mlango nikawafungulia wakaanza kusogeza viti na kushika hapa na pale kwenye gari wakavuta mkanda na wakakuta wa upande wa abiria umejikaza wakaniambia wananiandikia kosa la mkanda kutofanya kazi ila kwasababu hakunaga kosa kama hilo risiti ya kosa langu iliandikwa kutokufunga mkanda, JE HUU SIO UONEVU.

Mnamo tarehe 27/02/2017 majira ya saa saba mchana nilikua nikitokea maeneo ya mwenge naelekea stendi kubwa ya mabasi ubungo kupitia sam nujoma road maeneo ya mawasiliano nilikutana na trafik police ambao walinisimamisha wakaniambia wanakagua leseni zilizo expire na vibali vingine, walinikagua na kukuta kila kitu ninacho walipoona wamekosa kila kitu wakaniambia kaka tunakuandikia kosa moja ambalo ni la over speed nikawauliza wapi nilipozidisha speed wakasema haya ni maeneo ya makazi ya watu na kwa kawaida unatakiwa utembee km 50 kwa saa na wewe umetembea 52km kwa saa wakaniandikia fine elfu thelathini. JE HII NI HAKI JE TUNAELEKEA WAPI WAPENDWA, JE DHANA YA UTII WA SHERIA BILA SHURUTI ITAWEZEKANA KATIKA JAMII YETU?
 
Wabongo mbona ninyi walalamishi kila siku. Nchi inahitaji mapato! Kama unaona shida kuchangia pato la taifa kwa faini ya kosa la barabarani, basi uza hicho kigari chako mtumba utembee kwa mguu au upande daladala/bodaboda.

Samahani mkuu huku hatujuani, ila ningependa kujua elimu yako na kazi yako kwanza ndio tuendelee.
 
Inakera na inaudhi kuwa wengi barabarani na kila mmoja ana EFD mashine haisaidii kujenga nidhamu. Nguvu mnayotumia kukusanya mapato kushindana na TRA haisaidiii kuweka nidhamu barabarani.

Baadhi ya sehem mmekuwa chanzo cha kero kwa kusababisha foleni zisizo za lazima na sehemu zingine mmesababisha ajali kwa sababu tu mnajisikia kusimama popote na kusimamisha gari mnalotaka.

Hebu tumieni zile ethics mnazofundishwa darasani na chuoni jamani nchi haiendi hivi. Hebu mjipange jamani sidhani kukusanya pesa kwenu ni sifa bali sifa iwe nidhamu barabarani na ajali kupungua sio mnakuwa chanzo cha kero.
mlipomchagua magufuli mlibugi sn
 
Tumsapoti makonda aondoe mateja kwenye vituo vya mabasi ili watu wavutike kuacha magari nyumbani tutumie usafiri wa umma.
 
Mpunga, tungemchagua lowasa sheria za barabarani zingeachwa kufuatwa? Angekuwa rais wa hovyo sana.
 
Hivi trafik anawezaje kukubambika kosa? Yaani umwonyeshe leseni akuambie umempatia kitambulisho cha mpiga kura, au? Kuweni na mazoea ya kukagua magari yenu mara kwa mara, gari lenyewe lilikuwa scraped japan litakosa mapungufu? Hebu nunua brandnew pale toyota uone kama trafik atahangaita hata kukusimamisha.
 
Wabongo mbona ninyi walalamishi kila siku. Nchi inahitaji mapato! Kama unaona shida kuchangia pato la taifa kwa faini ya kosa la barabarani, basi uza hicho kigari chako mtumba utembee kwa mguu au upande daladala/bodaboda.
Mkuu inawezekana wewe ni mmoja wao au hujawahi fanyiwa mambo ya hovyo au kutozwa faini isiyo na sababu za msingi. Mimi walivyonibambikia kosa ndio siku hiyo niliwachukia kwa kweli, maana mtu unaweza lipa fine kwa sababu unawahi mambo yenye umuhimu zaidi na si kwamba umekubali kosa, jiulize kama kila kitu kuna fake yake unadhani hawa jamaa hawabambiki makosa fake.
Hajui alisemalo huyo jamaa
Hata baskeli ya kusafiria hana ndio maana anacomment pumba. Hajui chochote kinachoendelea barabarani
 
Hivi mbona sie tukiwa wadogo enzi za Nyerere mbona walikua wanakaa vituoni tu,ilikua had I itokee ajali wanakuja Pima na ile meter sasa miaka hii wapo weengi mabarabarani
 
Wiki iliyopita nilikua nikitokea maeneo ya pugu naelekea Gongo la mboto kuna mahali nilikwaa shimo barabarani kubwa kidogo likanipasulia tairi nilipobadili tairi nikaja kuhamaki mkanda wa kwenye gari yaani safety belt upande wa abiria umejikaza na kwakua sikua nimepakia mtu mwingine niliendelea na safari. kabla sijafuka gongolamboto mwisho nilikutana na askari wa usalama barabarani wakanisimamisha na nikatii. Wakaanza kukagua gari yangu yote pasipo kukuta kosa lolote wakadai niwafungulie mlango nikawafungulia wakaanza kusogeza viti na kushika hapa na pale kwenye gari wakavuta mkanda na wakakuta wa upande wa abiria umejikaza wakaniambia wananiandikia kosa la mkanda kutofanya kazi ila kwasababu hakunaga kosa kama hilo risiti ya kosa langu iliandikwa kutokufunga mkanda, JE HUU SIO UONEVU.

Mnamo tarehe 27/02/2017 majira ya saa saba mchana nilikua nikitokea maeneo ya mwenge naelekea stendi kubwa ya mabasi ubungo kupitia sam nujoma road maeneo ya mawasiliano nilikutana na trafik police ambao walinisimamisha wakaniambia wanakagua leseni zilizo expire na vibali vingine, walinikagua na kukuta kila kitu ninacho walipoona wamekosa kila kitu wakaniambia kaka tunakuandikia kosa moja ambalo ni la over speed nikawauliza wapi nilipozidisha speed wakasema haya ni maeneo ya makazi ya watu na kwa kawaida unatakiwa utembee km 50 kwa saa na wewe umetembea 52km kwa saa wakaniandikia fine elfu thelathini. JE HII NI HAKI JE TUNAELEKEA WAPI WAPENDWA, JE DHANA YA UTII WA SHERIA BILA SHURUTI ITAWEZEKANA KATIKA JAMII YETU?


pole mkuu
 
Inakera na inaudhi kuwa wengi barabarani na kila mmoja ana EFD mashine haisaidii kujenga nidhamu. Nguvu mnayotumia kukusanya mapato kushindana na TRA haisaidiii kuweka nidhamu barabarani.

Baadhi ya sehem mmekuwa chanzo cha kero kwa kusababisha foleni zisizo za lazima na sehemu zingine mmesababisha ajali kwa sababu tu mnajisikia kusimama popote na kusimamisha gari mnalotaka.

Hebu tumieni zile ethics mnazofundishwa darasani na chuoni jamani nchi haiendi hivi. Hebu mjipange jamani sidhani kukusanya pesa kwenu ni sifa bali sifa iwe nidhamu barabarani na ajali kupungua sio mnakuwa chanzo cha kero.
Kuna barabara inajengwa hapa Arusha toka Sakina hadi Tengeru hii ni barabara kuu na ni highway kuna vibao wakandarasi huweka kwa ajili ya tahadhari zao kwamba pita kushoto, punguza mwendo na muda mwingine huvisahau baada ya kumaliza kazi eneo husika. Trafic wa Arusha mjini na Arumeru wametumia huo mwanya kuwanyanganya wananchi pesa. Wao ndiko wanalo kaa kufuata hivyo vibao na kuwaandikia watu fine..
Nijuavyo mimi Trafic wanatakiwa kukaa kwenye vibao vilivyo pitishwa na kuwekwa na TANROADS na sio vibao vya wakandarasi.
Ukiwauliza wanakuambia wameagizwa na RPC na mkuu wa mkoa. Sidhani kama wanahusika na kuweka alama za barabarani hawa jamaa. Ifike mahali viongozi mfuate sheria na sio kuzinajisi..
Na lazima ieleweke lengo la kuwa na highway ni kufungua magari yatembee na sio mnavyo fanya Trafic wa Arusha. Tukuombe Mh Mpinga sikia hiki kilio...
 
Wabongo mbona ninyi walalamishi kila siku. Nchi inahitaji mapato! Kama unaona shida kuchangia pato la taifa kwa faini ya kosa la barabarani, basi uza hicho kigari chako mtumba utembee kwa mguu au upande daladala/bodaboda.
Najua huna gari mkuu ndio maana povu we komaa tu piga kazi utanunua soon tena sio la mkopo
 
Inakera na inaudhi kuwa wengi barabarani na kila mmoja ana EFD mashine haisaidii kujenga nidhamu. Nguvu mnayotumia kukusanya mapato kushindana na TRA haisaidiii kuweka nidhamu barabarani.

Baadhi ya sehem mmekuwa chanzo cha kero kwa kusababisha foleni zisizo za lazima na sehemu zingine mmesababisha ajali kwa sababu tu mnajisikia kusimama popote na kusimamisha gari mnalotaka.

Hebu tumieni zile ethics mnazofundishwa darasani na chuoni jamani nchi haiendi hivi. Hebu mjipange jamani sidhani kukusanya pesa kwenu ni sifa bali sifa iwe nidhamu barabarani na ajali kupungua sio mnakuwa chanzo cha kero.
Tii sheria hakika hautakutana nao
 
Wiki iliyopita nilikua nikitokea maeneo ya pugu naelekea Gongo la mboto kuna mahali nilikwaa shimo barabarani kubwa kidogo likanipasulia tairi nilipobadili tairi nikaja kuhamaki mkanda wa kwenye gari yaani safety belt upande wa abiria umejikaza na kwakua sikua nimepakia mtu mwingine niliendelea na safari. kabla sijafuka gongolamboto mwisho nilikutana na askari wa usalama barabarani wakanisimamisha na nikatii. Wakaanza kukagua gari yangu yote pasipo kukuta kosa lolote wakadai niwafungulie mlango nikawafungulia wakaanza kusogeza viti na kushika hapa na pale kwenye gari wakavuta mkanda na wakakuta wa upande wa abiria umejikaza wakaniambia wananiandikia kosa la mkanda kutofanya kazi ila kwasababu hakunaga kosa kama hilo risiti ya kosa langu iliandikwa kutokufunga mkanda, JE HUU SIO UONEVU.

Mnamo tarehe 27/02/2017 majira ya saa saba mchana nilikua nikitokea maeneo ya mwenge naelekea stendi kubwa ya mabasi ubungo kupitia sam nujoma road maeneo ya mawasiliano nilikutana na trafik police ambao walinisimamisha wakaniambia wanakagua leseni zilizo expire na vibali vingine, walinikagua na kukuta kila kitu ninacho walipoona wamekosa kila kitu wakaniambia kaka tunakuandikia kosa moja ambalo ni la over speed nikawauliza wapi nilipozidisha speed wakasema haya ni maeneo ya makazi ya watu na kwa kawaida unatakiwa utembee km 50 kwa saa na wewe umetembea 52km kwa saa wakaniandikia fine elfu thelathini. JE HII NI HAKI JE TUNAELEKEA WAPI WAPENDWA, JE DHANA YA UTII WA SHERIA BILA SHURUTI ITAWEZEKANA KATIKA JAMII YETU?
Ukiona umeonewa nenda kamuone mkuu wake hiyo faini atalipa yeye
 
Hivi mbona sie tukiwa wadogo enzi za Nyerere mbona walikua wanakaa vituoni tu,ilikua had I itokee ajali wanakuja Pima na ile meter sasa miaka hii wapo weengi mabarabarani
Bila hao jamaa vurugu zingekuwa kubwa sana barabarani wengi wangegongwa sana
 
They are doing something called "collection " by force. Pale Mlimani city out of blue kwenda kwa mama kamche imekuwa deal. Essentially watu wakitoka kazini
Pale inabidi waweke lile bango la kuzuia turn, otherwise ni uonevu mkubwa sana. Shameless traffic policemen.
 
Inakera na inaudhi kuwa wengi barabarani na kila mmoja ana EFD mashine haisaidii kujenga nidhamu. Nguvu mnayotumia kukusanya mapato kushindana na TRA haisaidiii kuweka nidhamu barabarani.

Baadhi ya sehem mmekuwa chanzo cha kero kwa kusababisha foleni zisizo za lazima na sehemu zingine mmesababisha ajali kwa sababu tu mnajisikia kusimama popote na kusimamisha gari mnalotaka.

Hebu tumieni zile ethics mnazofundishwa darasani na chuoni jamani nchi haiendi hivi. Hebu mjipange jamani sidhani kukusanya pesa kwenu ni sifa bali sifa iwe nidhamu barabarani na ajali kupungua sio mnakuwa chanzo cha kero.
Wewe utakua na hulka ya uhalifu hususani kuvunja Sheria za traffic, utasema,utasubiri sana lkn mziki ni huohuo na utaongezeka hadi unyooke.
 
Aisee wanakera sana hawa jamaa halafu kuna siku hua anakusanya ya kwake peke yake basi
 
Back
Top Bottom