Kuna dawa aina 3 nimeandikiwa mojawapo ni ya kunywa asubuhi baada ya chai. Bahati mbaya alisema kwa mdomo tu ila hakuandika na hospitali ni mbali.
Naomba kama kuna mtaalam anisaidie kutambua
1.Neuro support
2. Calcimag
3. Meloxicam
Natanguliza shukrani
Nina toyota camry ambayo imevunja kioo cha kwenye but. Naomba msaada wanapochonga vioo hapa Tanzania, au kenya na Uganda maana Dar es salaam nimetafuta nimekisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu
Swali dogo sana. Hivi toyota zinazotengenezwa Japan zinaingiliana spea na zile zinazotengenezwa Indonesia? Kuna toyota niliagiza kutoka Indonesia sasa kupata kioo cha nyuma imekuwa shida
Msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu
Mara nyingi hunitokea ghafla nagusa/napiga mkono vitu vikiwa mezani. Mfano naweza kuletewa chai lakini ghafla kunakuwa kama mtu kasukuma mkono wangu na kumwaga chai. Vivyo hivyo hutokea nikiwa na kinywaji mezani kama soda na kadhalika
Yaani inakuwa kama kuna mtu kagusa mkono wa...
Wakuu, heshima kwenu
Hii gari nimeitamani sana na nilikuwa nimefikia hatua ya kuilipia maana invoice tayari wamenitumia. Ni kupitia tradecarview
Katika kupitia kwenye mitandao, kuna maoni tofauti tofauti wengine wakisema ni gari nzuri huku wengine wakiiponda na kusema ni laini mno na zinachoka...
Wakuu nahitaji kiwanja Mwanza au Shinyanga au Nzega. Nakupa Toyota Gaia au Toyota Platz zote zikiwa na mwaka tangu ziingie Tanzania. Chagua gari kati ya hizo then kama kiwanja kipo vizuri nakuongeza na cash
Nipm
Wakuu nipo Nairobi hapa kuna simu nimeziona zinauzwa bei rahisi sana. Nataka ninunue kama za TZS 4,000,000 hivi ili nikongeze kwenye duka langu la simu. Woga wangu ni kuhusu TRA pale airport Kilimanjaro hawatadai uchakavu kweli? Pia nataka ninunue TV je nayo ikoje kuhusu ushuru.
Naombeni msaada
Wakuu nilinunua simu kupitia amazon mwezi march 2015. Bahati mbaya haikufika. Alituma kama kama priority mail letter. Ameomba nichague mambo mawili: Refund au anitumie simu nyingine. Mimi nataka refund ila anadai sitarudishiwa shipping cost. Ni sawa tu kwangu. Je inawezekana hela zikarudi kwenye...
Habari ndugu zangu. Hii Simu nililetewa kutoka marekani. Huko ilikuwa inatumia mtandao wa tmobile. Ilipoletwa huku haikamati network.
Nimekaa nayo mwaka sasa Mafundi wengi wamejaribu wakashindwa.Simu inaonekana ni unlocked na kila kitu kilo fine isipokuwa network tu Hebu nipe fundi Wako...
Watalaam wa htc one, nimekuja tena. Safari hii naomba niweke data/information ili ziwasaidie katika kuamua kama hii simu yangu ni LOCKED, TATIZO LINGINE LA SOFTWARE AU NI TATIZO LA HARDWARE.
Awali ya yote niliipeleka kwa mhindi mmoja ambaye ni dealer wa Samsung akaniambia inabidi adownload...
Ipo katika hali nzuri kabisa.
Alarm sytem
Remote key less
etc
Sababu ya kuuza: Nimeagiza gari nyingine
Bei: Tshs 5,000,000
Jinsi ya kuiona: Jtatu hadi Ijumaa MWANZA
JUMAMOSI NA JUMAPILI SHINYANGA
PM kama unahitaji
check picha hapa chini
Natafuta mwalimu wa kunifundisha kutumia quickbooks, nipo mwanza.
Awe mtalaam au ana uzoefu tu wa kutumia software hii. Kwa aliyeko mwanza au mikoa ya jirani naweza nikamfuata au akaja ofisini kwetu. Kwa mtu wa dar naweza kuja au akanifundisha online.
MALIPO
Kama utanifuata ofisini utalipwa...
Maeneo ya Mkolani, Buhongwa. Nyegezi pia naweza kufikiria
Chumba na sebule self contained, au
Chumba kimoja self contained,au
Siyo self lakini cha wapangaji wachache, angalau mmoja au wawili
Packing
Kama unacho, niPM na contacts ili nikupigie
Naomba msaada wakuu
Tulikoroshana na my wife 2008 mwaka mmoja tu baada ya kufunga ndoa ya kikatoliki. Akarudi kwao na kubeba baadhi ya vitu vyake. Tukaendelea na mawasiliano huku tukijaribu ku reconcile. Imeshindikana kurudi na nikaamua kuomba talaka na yeye akakubali. Tukaanza ustawi tukapewa...
Wakuu heshima mbele
Nimeitwa kwenye interview katika mamlaka ya elimu tanzania kwenye managerial post, naomba mwenye ufahamu kuhusu mamlaka hiyo, anijuze mishahara yao, haki katika kuajiri (kama hawana upendeleo), allowances n.k. Nimeuliza kwa sababu niko Botswana kwa sasa ili nisichome nauli za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.