Mamlaka ya Elimu Tanzania - Tanzania Education Authority

Kisiwa

Senior Member
Oct 18, 2010
125
19
Wakuu heshima mbele
Nimeitwa kwenye interview katika mamlaka ya elimu tanzania kwenye managerial post, naomba mwenye ufahamu kuhusu mamlaka hiyo, anijuze mishahara yao, haki katika kuajiri (kama hawana upendeleo), allowances n.k. Nimeuliza kwa sababu niko Botswana kwa sasa ili nisichome nauli za bure, maana wengine huwa wanatangaza nafasi zikiwa tayari zina walengwa au wakati mwingine na watu wapo tayari ofisini.
Naomba kama nimetumia maneno mabaya mniwie radhi, ni katika kuhangaika kutafuta maisha
Wasalaam
 
sijui ila hebu tuambie wewe ni mtanzania?

Mimi ni mtanzania mama. Nimezaliwa tanzania, nimekulia tanzania, nimesoma tanzania na nimefanya kazi tanzania. Botswana nimekwenda hivi karibuni tu kutafuta maisha
Hope this meets your expectations
 
I think the best way is to check on the government website u can see government salary levels, bt forget about being paid well and prepare urself to be a corrupt manager!! Dats z tz
 
Mimi ni mtanzania mama. Nimezaliwa tanzania, nimekulia tanzania, nimesoma tanzania na nimefanya kazi tanzania. Botswana nimekwenda hivi karibuni tu kutafuta maisha
Hope this meets your expectations

sasa ngoja nikujibu, baraza wako makin sana katika kujairi wao huwa hawahongeki wala hawaajiri kwa majina what matters kwao ni how can you demonstrate your competence. so jipange na hsa kama wewe ni post za statistics jipange zaid kwenye yale ma ki square,

e
 
I think the best way is to check on the government website u can see government salary levels, bt forget about being paid well and prepare urself to be a corrupt manager!! Dats z tz

he! hufai kuitwa "Haki".it's beta u change ur nem.unamshaur mwenzio awe corrupt manager!.
 
sasa ngoja nikujibu, baraza wako makin sana katika kujairi wao huwa hawahongeki wala hawaajiri kwa majina what matters kwao ni how can you demonstrate your competence. so jipange na hsa kama wewe ni post za statistics jipange zaid kwenye yale ma ki square,

e

Samahani mkuu, mimi naulizia mamlaka ya elimu siyo baraza la mitihani
 
Wakuu heshima mbeleNimeitwa kwenye interview katika mamlaka ya elimu tanzania kwenye managerial post, naomba mwenye ufahamu kuhusu mamlaka hiyo, anijuze mishahara yao, haki katika kuajiri (kama hawana upendeleo), allowances n.k. Nimeuliza kwa sababu niko Botswana kwa sasa ili nisichome nauli za bure, maana wengine huwa wanatangaza nafasi zikiwa tayari zina walengwa au wakati mwingine na watu wapo tayari ofisini.Naomba kama nimetumia maneno mabaya mniwie radhi, ni katika kuhangaika kutafuta maishaWasalaam
Sina ufahamu kuhusu haki katika ajira. ila nasikia mishahara yao minono sana, about 3m -4m. katika managerial post mara nyingi upendeleo haufanyi kazi sana tofauti na junior post. jiandae vema na mwombe mungu akusaidie
 
Sina ufahamu kuhusu haki katika ajira. ila nasikia mishahara yao minono sana, about 3m -4m. katika managerial post mara nyingi upendeleo haufanyi kazi sana tofauti na junior post. jiandae vema na mwombe mungu akusaidie

Nashukuru mkuu kwa kunitia moyo. Ila sidhani kama salary inaweza kufika huko. anyway ngoja nijaribu
 
Back
Top Bottom