Wakuu nipo Nairobi hapa kuna simu nimeziona zinauzwa bei rahisi sana. Nataka ninunue kama za TZS 4,000,000 hivi ili nikongeze kwenye duka langu la simu. Woga wangu ni kuhusu TRA pale airport Kilimanjaro hawatadai uchakavu kweli? Pia nataka ninunue TV je nayo ikoje kuhusu ushuru.
Naombeni msaada
Naombeni msaada