Habari ndugu zangu. Hii Simu nililetewa kutoka marekani. Huko ilikuwa inatumia mtandao wa tmobile. Ilipoletwa huku haikamati network.
Nimekaa nayo mwaka sasa Mafundi wengi wamejaribu wakashindwa.Simu inaonekana ni unlocked na kila kitu kilo fine isipokuwa network tu Hebu nipe fundi Wako ambaye unamwamini, kama hatua ya mwisho kabla sijaitupa.
Pia wapi naweza kupata Lcd display ya Acer aspire v5 inch 10?
Nipo Dar kwa sasa.
Update
Problem solved. Many thanks to f.lee
Nimekaa nayo mwaka sasa Mafundi wengi wamejaribu wakashindwa.Simu inaonekana ni unlocked na kila kitu kilo fine isipokuwa network tu Hebu nipe fundi Wako ambaye unamwamini, kama hatua ya mwisho kabla sijaitupa.
Pia wapi naweza kupata Lcd display ya Acer aspire v5 inch 10?
Nipo Dar kwa sasa.
Update
Problem solved. Many thanks to f.lee
Last edited by a moderator: