Leo tokea saa 11 jion mitaa ya aiport ya zamani mbeya hapatoshi raia wamekiwasha ni mwendo wa mabomu ya machozi tu kwel tz polisi hatuna kama mtaa mmoja mbeya masaa masaa 5 wameshindwa kuzima maandamano ndio wataweza kizima maanadamano ya nchi nzima kwel ?
Nimekuona ukizunguka kwa mashehe mpaka nikahisi umeslimu. Jana nimekuona kanisani tena nikashtuka ukakazia kuwa wewe ni mwana wa Yesu mshangao ukanipiga.
sijajua Yesu yupi uliekuwa unamuhubiri na hata kwa mashehe uliopita sijui walikua wanakuswalia kwa mtume yupi (kakangu katika iman Mungu...
napenda kuipongeza serikali kwa vita inayoendelea sasa dhidi ya madawa ya kulevye yaani no retreat no surrender wito wangu vita hii isiishie tu kwa wasanii ihamie kwa majeshi yetu na madaktari
ikiwezekana amiri jeshi mkuu Muheshimiwa Raisi aoneshe mfano kama Raisi wetu mstaafu JK alipoonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.