lusaka city
Senior Member
- Mar 17, 2015
- 146
- 116
napenda kuipongeza serikali kwa vita inayoendelea sasa dhidi ya madawa ya kulevye yaani no retreat no surrender wito wangu vita hii isiishie tu kwa wasanii ihamie kwa majeshi yetu na madaktari
ikiwezekana amiri jeshi mkuu Muheshimiwa Raisi aoneshe mfano kama Raisi wetu mstaafu JK alipoonyesha mfano wakupima maambukizi ya VVU
Mungu ibariki Tanzania
straight toka Lusaka zambia
ikiwezekana amiri jeshi mkuu Muheshimiwa Raisi aoneshe mfano kama Raisi wetu mstaafu JK alipoonyesha mfano wakupima maambukizi ya VVU
Mungu ibariki Tanzania
straight toka Lusaka zambia