Nyumba ina vyumba vinne viwili master , sitting, danning na jiko .
Nyumba ina uwanja mkubwa
Na ipo karibu na barabara ya rami dk 5
Nyumba ina fence ya kuingiza gari
Bei milion 65
Maongez yapo kidogo
Call 0718 606739
0685752509
Ipo karibu na barabara ya rami
Beach plot for sale Kigamboni Darajani
Eneo linaukubwa wa heka 2
Bei milion 200
Eneo ni Skwata
Kwa maelezo zaid call 0718606739
0685752509
Full documents
Nyumba ina vyumba 3 kimoja master , sitting na daning pamoja na jiko
Nyumba ina jiko la nje na ndani . kisima cha maji na umeme. .nyumba ina fence kubwa na nyumba ni mpyaaa
Ukubwa wa kiwanja square mita 850
Dk 10 kutoka barabara ya rami
Bei milion 120
Kwa maelezo zaidi piga
Call 0718606739...
Viwanja vunauzwa Kigamboni Vikunai, vinatazamana na maghorofa ya NSSF.
Viwanja vina ukubwa wa mita 27*22
Price = million 5
Cont 0718 606739
0685 752509
Kwenda kuona viwanja site ni buree
Wakuu habari zenu?
Aisee wakuu naomba msaada wenu kidogo kuna siku nilienda kufanya kazi pale Hyatt Regency hotel kwenye ile casino nliyoyaona pale yalinistaajabisha hasa hili ukiingia pale mlangoni kuna lisanamu fulani hivi limewekwa kwenye meza mlangoni tuu ila wameliwekea pande moja kubwa la...
Wanajf hamjambo aisee
yaan siku ya leo asubuhi subuhi nkiwa njiani kuelekea mkutanoni kwenye kituo flani cha polisi nlipanda daladala wallah kuna kaka kadhalilishwa sijui kadhalilisha mara papu mama mmoja ana-shout "we kaka unambambia dada wa watu mda mrefu mpaka nmekuona unatoa mdudu wako...
Wanajamvi za usiku huu
yaani katika vitu huwa vinaniletea hasira huwa ni kitendo cha mtoa uzi kuleta uzi bila kuwa na viambatanishi vya kusaidia uzi wake ili wazeee wa kushadadia tushadadie kwa uhakika na ushahidi tosha.
kwa mfano
cheki uzi huu
au
au uzi huu
ni moja ya nyuzi nazozikubali...
Wanajamvi Kamwene,
Yaani nimesikitika kifo cha Ruge sana
sasa kama nawaona wahaya kwa sifa zao huko msibani
Picha linaanza na tangazo la msiba pale radio one utasikia matangazo ya vifo familia ya Ruge wanatangaza kifo cha mpendwa wao kilichotokea South Africa akiwa kwenye matibabu huku...
Mzigo sokoni
TOYOTA HARRIER
5S ENGINE 4 CYILENDER
FULL AC
NUMBER T884 BCL
BEII MILION 11......MAONGEZI
HAINA TATIZO
Lipo Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Wazee nlimmisi demu wangu akija tuu ndoa alikuwa arabuni kama msaidizi wanyumbani raha iliyoje kurudi nyumbani.
Akitua tuu ndoa sichelewi msio na madem walioenda nje post yenu inakuja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
When it comes to which height do better in bed we have many different opinions.
Matatizo, 32, insists that he has been with girls his height 5.9ft and girls who are 5.3. He says, “The only difference is that a girl who is much shorter than me is, given a normal build, more manuverable in bed...
Habari ndugu zangu wana JF baada ya kuwapatia salamu za heri kwenu naomba niendelee na kile nlichokianzisha elimu kuhusu CCTV.
Aidha kwenye topic iliyopita tuliweza kujifunza habari kidogo kuhusu CCTV aina muundo ufanyaji wa kazi ila kwa hapa ntakupa muendelezo mdogo ambao utakusaidi kung'amua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.