Habari za leo wakuu,
Leo tujadili hizi tozo za mabenki [withdrawal charges] kwa wateja ambao kimsingi ndio wamiliki wa fedha hizo.
Mteja anatunza pesa yake benki, na benki zinaifanyia biashara [kukopesha] kwa faida. Kisha mmiliki akihitaji kutoa kiasi chochote kwa matumizi yake hutozwa 'ada'...
Naomba kupata ABCs za biashara ya bucha. Kuanzia vifaa vinavyohitajika gharama zake, vibali na upatikanaji wake.
Ikipendeza zaidi, basi na bei ya nyama machinjioni na makadirio ya faida kwa kilo. Na taarifa zote muhimu zinazohitajika.
Natanguliza shukrani.
=====
Mchango wa mdau
Ndugu zangu, salaam!
Kumekuwa na kampeni nyingi za kumwinua mwanamke kutoka katika hali ambayo hapo awali ilitafsiriwa kuwa ni ukandamizaji, na matokeo ya hatua hizo ni dhahiri yashaanza kuonekana kwenye nyanja tofauti kwa kadri ya muda.
Wakati wote huo hakuna lolote linalofanyika kwa ajili ya...
Ndugu zangu!
”Ukitaka kufurahia maisha, tafuta mtu wa kumlaumu.” Nimewahi kuishi katika msemo huu, kisha nikaamka na nikajitafuta upya.
Sijui kama nitakuwa na maelezo mazuri ya kuliweka vizuri hili, si unajua kuna vile ‘vi-furaha vidogo vidogo’ ambavyo hata huwezi kumsimulia mwenzio!
Mfano ni...
Kweli ‘mujini’ mipango, salamu kwenu ndio kitu cha bure. Karibuni kwenye mada.
Shule tajwa ni kati ya shule bora na kongwe mjini Dar es Salaam ambazo zipo chini ya serikali na zikiendesha masomo kwa lugha ya Kingereza, zimekuwa kimbilio la wanyonge kulingana na Ada zake kuwa nafuu sana...
Heshima kwenu ndugu zangu.
Naomba muda wenu na mawazo yenu nipate ABCs za kuzingatia katika hili suala, limenikaa hapa nami sikuliwazua kwa upana wake kabla ya kuamua.... nitaelezea kwa uchache hii scenario.
Ni dada mmoja mhitimu wa chuo ngazi ya stashahada, nilifahamiana naye miaka miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.