Naomba ushauri kuhusu biashara ya bucha

michibo

JF-Expert Member
Feb 16, 2015
2,212
3,655
Naomba kupata ABCs za biashara ya bucha. Kuanzia vifaa vinavyohitajika gharama zake, vibali na upatikanaji wake.

Ikipendeza zaidi, basi na bei ya nyama machinjioni na makadirio ya faida kwa kilo. Na taarifa zote muhimu zinazohitajika.

Natanguliza shukrani.

=====

Mchango wa mdau
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
 
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
 
Naomba kupata ABCs za biashara ya bucha. Kuanzia vifaa vinavyohitajika gharama zake, vibali na upatikanaji wake.

Ikipendeza zaidi, basi na bei ya nyama machinjioni na makadirio ya faida kwa kilo. Na taarifa zote muhimu zinazohitajika.

Natanguliza shukrani.
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
Cost ya biashara mpaka isimame inaweza kua bei gan?
 
Mkuu Biashara yoyote inalipa kwa kusoma mchanganuo wake mfano hapo juu.

Cha msingi Usijiulize Sana fuata mawazo yako. akili ya mapambano hupatikana uwanja wa Vita.

Kwahiyo mkuu tusiombe ushauri na uzoefu?

Taarifa ni muhimu ili kutoa ukungu, kisha unazama ndichi kwa ajili ya upembuzi yakinifu…. na ushauri ni rahisi kupata JF kuliko site ambako wamiliki wa mabucha huwakuti.
 
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
Kigogo na shoka aweke lakini anunue machine ile ya kukatia nyama, sijui m1.5 hivi, kigogo wakikukuta nacho watakupiga hela.
 
Nimekuelewa sana mkuu Equation x, nashukuru pia…. ila hapo kwenye gogo naona msumeno ni poa zaidi.

Nitajaribu kujua bei yake.
 
Nimepata mwanga wa kutosha kuanza nao, na kwa kuwatoa hofu wengine mtaji sio mkubwa sana hapa…. imagine unawekeza milioni TATU tu kwa biashara itakayoweza kukupa FAIDA ya takribani milioni MOJA kwa MWEZI.

Just IMAGINE!

Na hapo kama lengo ni kuuza kiasi cha kuisha siku MOJA, basi unaweza kuanza bila FRIZA.

I’m going IN.
 
Nimepata mwanga wa kutosha kuanza nao, na kwa kuwatoa hofu wengine mtaji sio mkubwa sana hapa…. imagine unawekeza milioni TATU tu kwa biashara itakayoweza kukupa FAIDA ya takribani milioni MOJA kwa MWEZI.

Just IMAGINE!

Na hapo kama lengo ni kuuza kiasi cha kuisha siku MOJA, basi unaweza kuanza bila FRIZA.

I’m going IN.
Kwenye biashara, muhimu mzunguko uwe mzuri tu.

Tia mguu, mengine utayaona humo humo, changamoto ni kawaida tu kwenye biashara
 
Hesabu rahisi adi raha
Asisahau rushwa ndogo ndogo kwa Afisa Afya maana haziepukiki.

Kwanza haturuhusu matumizi ya GOGO. Nunua mashine.

Na kama utakuwa unanunua ng'ombe mwenyewe, epuka wa wizi utauawa.
 
Kwahiyo mkuu tusiombe ushauri na uzoefu?

Taarifa ni muhimu ili kutoa ukungu, kisha unazama ndichi kwa ajili ya upembuzi yakinifu…. na ushauri ni rahisi kupata JF kuliko site ambako wamiliki wa mabucha huwakuti.

Sina maana usiulize Ila Nina maana kuwa endelea na misimamo yako ukiuliza Sana utakatishwa tamaa, kwenye maisha kila kitu Ni kujaribu.
 
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
Hizi hesabu za kwenye madaftar kabla ya kuingia uwanjani, miaka 20 iliyopita ilinifanya nijiingize kwenye biashara ya usafiri wa umma mjini, kipindi iko gari kubwa daladala mwenge mbagala nauli TSH 150/=✓
Kilichonikuta ni hasara na million yangu 18 haikurudi tena, kipindi kile ilikuwa ela nyingi..
Ila biashara ya butcher ina faida, but inatakiwa uwe na butcher zaidi ya moja nadhani
 
Hizi hesabu za kwenye madaftar kabla ya kuingia uwanjani, miaka 20 iliyopita ilinifanya nijiingize kwenye biashara ya usafiri wa umma mjini, kipindi iko gari kubwa daladala mwenge mbagala nauli TSH 150/=✓
Kilichonikuta ni hasara na million yangu 18 haikurudi tena, kipindi kile ilikuwa ela nyingi..
Ila biashara ya butcher ina faida, but inatakiwa uwe na butcher zaidi ya moja nadhani
Ukifanikiwa kutengeneza wateja wa kudumu kwenye biashara yako, mafanikio yatakuwepo
 
Nadhani unaweza kuanza hivi:-
  • Tafuta fremu nzuri iliyopo sehemu nzuri, labda 200,000/= kwa mwezi
  • Nunua mizani labda 150,000/=
  • Tafuta gogo 50,000/=
  • Mapanga,shoka 30,000/=
  • Friza 500,000/=
  • TIN
  • Leseni
Mauzo
  • weka malengo ya kuleta kilo 50 kwa siku ili usilaze nyama
  • Tafuta wateja wako wa kudumu,angalau 10 n.k wanaweza kuwa mama ntilie au wachoma mishikaki
  • Kilo zinazobakia utawauzia wateja ambao sio wakudumu,wapita njia
Bei ya machinjioni huwa kuna tofauti kama ya 1000 na ile bei ya kuuza rejareja dukani,inategemea na mkoa n.k
Kama utapata faida ya 1000 kwa kila kilo, inamaana kwa kilo 50 kwa siku, utauza 50,000/=
50,000 x 30days = 1,500,000/=

Mapato na matumizi
  • Mapato 1,500,000/=
  • Toa kodi 200,000/=, utabaki na 1,300,000
  • Toa muuzaji 200,000/= baki 1,100,000
  • Toa usafiri kwa mwezi 100,000, baki 1,000,000
  • Toa umeme na maji 150,000; unabaki na 850,000
Faida utakayobaki nayo ni Sh. 850,000/=
Ukiwa na magoli ya namna hiyo 20; utakuwa na mapato ya sh. 17,000,000/=
Mkuu,ingia vitani ukawe tajiri
Hapo kwenye kuwa na magori 20🤔🤔
 
Nimepata mwanga wa kutosha kuanza nao, na kwa kuwatoa hofu wengine mtaji sio mkubwa sana hapa…. imagine unawekeza milioni TATU tu kwa biashara itakayoweza kukupa FAIDA ya takribani milioni MOJA kwa MWEZI.

Just IMAGINE!

Na hapo kama lengo ni kuuza kiasi cha kuisha siku MOJA, basi unaweza kuanza bila FRIZA.

I’m going IN.
Nitaomba mrejesho kwako boss.
 
Hizi hesabu za kwenye madaftar kabla ya kuingia uwanjani, miaka 20 iliyopita ilinifanya nijiingize kwenye biashara ya usafiri wa umma mjini, kipindi iko gari kubwa daladala mwenge mbagala nauli TSH 150/=✓
Kilichonikuta ni hasara na million yangu 18 haikurudi tena, kipindi kile ilikuwa ela nyingi..
Ila biashara ya butcher ina faida, but inatakiwa uwe na butcher zaidi ya moja nadhani
Pole sana. Hii ni kawaida. Mahesabu ya biashara kwenye daftari na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti kabisa. Biashara yoyote, hasa hizi za nchi zetu za kiafrika zina details ndogo ndogo nyingi ambazo bila kuifanya huwezi kujua. Kwa mfano hii ya nyama unaweza kuambiwa ''unaenda machinjioni unanunua kila 100....''. Ule ujuzi tu wa kununua nyama nzuri ni kipengele kimoja.
 
Back
Top Bottom