Kutokana na hali jinsi inavyokwenda kweli wanawake wanahitaji stara, wanaume wenzangu tuongezeni speed ya kuwasitiri.
Binafsi nipo tayari kuongeza mke, natangaza nafasi kwa alietayari kuupokea uke wenza, awe na heshima amuheshimu atakaemkuta.
Vigezo; awe muislam age aanzie 27 hadi 37 hata...
Wakubwa shikamoni wadogo marhaba twende moja kwa moja kwenye mada
Jaman nimepata shauku ya kwenda kutembea moroni kwa mwenye kupajua
Msaada vip hotel zao price za kati na kati
Chakula na sehem za kutembelea nikipata mwenyeji nitafurah zaid
Asalaam alaikum jaman kwa wenyej wa mwanza naomben msaada nakuja mwanza inshaalah kesho hotel nzur isizid elf 40 na nahitaj mwenyeji atakaentembeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar za jioni wanaJF mliopo Pemba Chake mi mgeni wenu ndio naingia.
Naomba mwenyeji jamani kama yupo anifuate private na humu naomba tufahamishane wapi pa kutembelea Chake.
*Nasaha kw waliofikia 35Age 40-50 na juu ya Umri huo...*
*Nasaha 1... Juu yko kupiga CHUKU(Hijama) kila mwaka hata kama huhisi maradhi au mapungufu yyte*
*Nasiha 2...Kunywa maji kw wingi japo huoni kiu au huyahitajii ...kwani mashakil mengi ya mwili huja kw kupungua maji mwilini*
*Nasaha...
Mfanyabiashara wa Utalii avamiwa na kusachiwa kwa kwa saa 20
Mfanyabiashara mkubwa wa Utalii na uwindaji Akram Azizi ambaye ni Mkurugenzi wa kampuni ya Kilombero North Safaris jana mchana alivamiwa na askari wakiwa na maofisa wananyamapori, akituhumiwa kuwa kontena lililosheheni nyara za taifa...
WANAUME NA ENZI ZETU!
Enzi za #Mwalimu wanaume tulipewa majina stahiki kama vile
MUME WANGU au BABA WATOTO
Enzi za #Mwinyi wanaume tuliitwa MABWANA utasikia mwanamke ana muhadisia mwenzie kapata #Bwana.
Enzi za #Mkapa wanaume tukaitwa MABUZI
Mwanamke ana msimulia mwenzake nime pata #Buzi...
Serikali imeziagiza mamlaka za miji nchini kuwavunjia mara moja watu ambao wananzisha ujenzi katika maeneo ambayo hayajapimwa kwani kwa sasa Serikali imeweka mazingira rafiki ya watu kumiliki ardhi.
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi Mhe.Willium Lukuvi ametoa agizo hilo mara baada ya...
Nina mshikaji wangu kila tukisafiri nae kwenda mikoa tofauti tukifika haichukui muda kashazoeleka na watu gafla wanamfahamu na hata msaada pia kama tumekwama tunasaidiwa haraka na jamaa tunaowakuta yaani wanajitolea kama tulikua tunafahamiana mwanzo kumbe ndio kwanza tunaonana nao.
RATIBA YA WANAUME WA DAR W/KEND
1.Asubuhi-Chai na soseji moja na yai la kuchemsha
Baada ya chai anaangalia tamthiliya ya kifilipino[emoji2][emoji2][emoji2]
2.Mchana-Chips mayai na mayonaiza na mshikaki mmoja.
Jioni jioni anaenda kufanya pedcure[emoji4][emoji4] pale mwenge. Baada ya hapo dili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.