nanawoo
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 1,267
- 1,215
WANAUME NA ENZI ZETU!
Enzi za [HASHTAG]#Mwalimu[/HASHTAG] wanaume tulipewa majina stahiki kama vile
MUME WANGU au BABA WATOTO
Enzi za [HASHTAG]#Mwinyi[/HASHTAG] wanaume tuliitwa MABWANA utasikia mwanamke ana muhadisia mwenzie kapata [HASHTAG]#Bwana[/HASHTAG].
Enzi za [HASHTAG]#Mkapa[/HASHTAG] wanaume tukaitwa MABUZI
Mwanamke ana msimulia mwenzake nime pata [HASHTAG]#Buzi[/HASHTAG].
Enzi za [HASHTAG]#Kikwete[/HASHTAG] tukapewa majina mazuri na matamu hata ukisikia unafurahi moyoni,
[HASHTAG]#Baby[/HASHTAG], Darling,sweety,Honey na mengine mengi.
Enzi hii ya [HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] sasa!
Pesa hazionekani wanaume tume vurugwa maisha magumu
Wanatuita [HASHTAG]#WAHENGA[/HASHTAG]
Wanawake wa Bongo Mungu anawaonaaaa.
Wanaume kwa Vile Pesa Ngumu,tuna kauli yetu tunakwambia
Mwanaume [HASHTAG]#MASHINE[/HASHTAG]
Dadeki mta elewaa tuuuh!
*Watu Bwana*
Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za [HASHTAG]#Mwalimu[/HASHTAG] wanaume tulipewa majina stahiki kama vile
MUME WANGU au BABA WATOTO
Enzi za [HASHTAG]#Mwinyi[/HASHTAG] wanaume tuliitwa MABWANA utasikia mwanamke ana muhadisia mwenzie kapata [HASHTAG]#Bwana[/HASHTAG].
Enzi za [HASHTAG]#Mkapa[/HASHTAG] wanaume tukaitwa MABUZI
Mwanamke ana msimulia mwenzake nime pata [HASHTAG]#Buzi[/HASHTAG].
Enzi za [HASHTAG]#Kikwete[/HASHTAG] tukapewa majina mazuri na matamu hata ukisikia unafurahi moyoni,
[HASHTAG]#Baby[/HASHTAG], Darling,sweety,Honey na mengine mengi.
Enzi hii ya [HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] sasa!
Pesa hazionekani wanaume tume vurugwa maisha magumu
Wanatuita [HASHTAG]#WAHENGA[/HASHTAG]
Wanawake wa Bongo Mungu anawaonaaaa.
Wanaume kwa Vile Pesa Ngumu,tuna kauli yetu tunakwambia
Mwanaume [HASHTAG]#MASHINE[/HASHTAG]
Dadeki mta elewaa tuuuh!
*Watu Bwana*
Sent using Jamii Forums mobile app