nanawoo
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 1,268
- 1,215
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi Mhe.Willium Lukuvi ametoa agizo hilo mara baada ya kutembelea taasisi ambazo zipo chini ya wizara yake na zinashiriki maonesho ya biashara ya Dar es Salaam.
Nao baadhi ya wasimamizi wa Taasisi hizo ambazo ni Shirika la Nyumba la Taifa na kampuni ya Nyumba ya Watumishi wamesema wamekuwa wakifanya kazi zao kwa weledi ili kuwapatia Watanzania makazi bora.
Chanzo:ITV