jamani, toka mwaka uanze nilikuwa sijapita huku.... na leo nachukua fursa hii kwa mambo mawili
1. Heri ya mwaka mpya wana JF woooooooote
2. naungana nanyi nyoote kwa msiba wa dada yetu.......... so sad to speak about it...
May God bless us....
wishing you the best in 2012
my message to you...
habari wana JF
Leo ningependa kulifikisha hili kwenu tulitazame sote kwa pamoja, huwa ninaona magari yameandikwa majina ya wamiliki ubavuni, mara nyingi kwa saloon ni karibu na milango ya mbele. Leo mtu mmoja akaniambia yeye alikutana nayo hiyo alipoenda kulipia faini mojawapo polisi akaambiwa...
Hapa namuona Mbowe na wabunge wenine kadhaa wakifanya usafi wa maeneo mbali mbali kwenye wilaya ya HAi
fuatilia link hii: matukio-michuzi: Mh Mbowe azindua taasisi ya Kusimamia Mpango wa Maendeleo ya Wilaya ya Hai ( HAKIDI)
Ni ukweli kwamba kwa sasa wanasiasa wengi wanajitahidi kusoma nyakati kwa makini sana to the extent kuna baadhi ambao tumeona wakionekana ni magwanda lakini "ya kijani" na baaadhi wakiwa kama magamba "lakini ya kaki" je hii ni ishara gani kwa chama tawala na chama "tawaliwa"??
Habari wana JF, leo ningependa kukumbushana maisha tuliyopitia katika kipindi ukiwa bachelor.... yaani zile experience za ubachelor unazozikumbuka ambazo ukiwa kwenye Ndoa hutarajii sana kukutana nazo
teh teh teh kwa kuanza
1. kula canteen karibu milo yote
2. chakula kikuu chako kuwa chips...
haya nimeona mwenyewe kwa macho yangu nikajaribu angalau kuchukua baadhi ya picha kwa kutumia camera ya simu na nikapata hizi hapo.... hizo ni baadhi ya pcha nyingi za kuonyesha matumizi tofauti tofauti ya vyandarua vya bure ambavyo kidogo vifanane na "makokoro" ya wavuvi!! [I hope kanda ya ziwa...
for the fisrt time this week I arrived in Geita, ni sehem ambayo ina mgodi mmoja mkubwa sana wa dhahabu na ni moja ya migodi mikubwa sana Africa kwa jinsi ninavyojua, pamoja na huo kuna migodi midogomidogo mingi sana lakini Geita ni kati ya miji iliyo na miundombinu mibovu ya mahitaji muhimu kwa...
Jamani nauliza si kwa nia ya kuendekeza ukabila ila kwa ku-consider tabia na experience za makabila, laiti ungepewa kupanga wizara kuendana na makabila ili kuongeza ufanisi wewe ungezipanga vipi?
mimi naanza mfano;
wakurya- wizara ya ulinzi
wazaramo- wizara ya habari
wapare- benki kuu...
wapendwa wana jamii,hebu pata picha wewe si Mtanzania kisha ukasikia kuwa kuna sehemu kuna watu wanachuna ngozi!! kisha baaada ya muda ukasikia hukohuko wanaua vikongwe!! tena mara ukasikia kuna watu wanaua albino!! mara tena unakuja kusikia vifo vya vichanga vingi navyo vikihushwa na imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.