Ntumami
Senior Member
- Sep 3, 2010
- 127
- 23
wapendwa wana jamii,hebu pata picha wewe si Mtanzania kisha ukasikia kuwa kuna sehemu kuna watu wanachuna ngozi!! kisha baaada ya muda ukasikia hukohuko wanaua vikongwe!! tena mara ukasikia kuna watu wanaua albino!! mara tena unakuja kusikia vifo vya vichanga vingi navyo vikihushwa na imani potofu za ushirikina!! na hayo yote pia yakihusishwa na ushirikina??
hebu fikiri ungeiona vipi Tanzania, please tafakari na uone ni hatua ipi unaweza ichukua?
May God have Mercy on Tanzania
hebu fikiri ungeiona vipi Tanzania, please tafakari na uone ni hatua ipi unaweza ichukua?
May God have Mercy on Tanzania