Ntumami
Senior Member
- Sep 3, 2010
- 127
- 23
Ni ukweli kwamba kwa sasa wanasiasa wengi wanajitahidi kusoma nyakati kwa makini sana to the extent kuna baadhi ambao tumeona wakionekana ni magwanda lakini "ya kijani" na baaadhi wakiwa kama magamba "lakini ya kaki" je hii ni ishara gani kwa chama tawala na chama "tawaliwa"??