Search results

  1. N

    Kwanini huwa wanaonyesha hotuba za nyerere alizotoa baada ya kustaafu tu?

    mwl. nyerere ametawala Tanzania kwa takriban miaka 24, lakini nimekuwa nikijiuliza, hivi ni kwa nini vyombo vya habari huwa vinatuonyesha hotuba alizotoa baada ya kung'atuka kutoka madarakani pekee? kwani nini hawatuonyeshi na zile akiwa madarakani? Msaada tafadhali. (Note; if you have no...
  2. N

    Natoa wito kwa waTz wenzangu juu ya wabunge wetu

    Imekuwa ni wimbo kwa wabunge wetu kudai kulipwa hela nyingi kwani wakienda majimboni kwetu wananchi tunawaombe hela. na hata wananchi wakienda Dodoma wanaomba nauli za kurudia makwao. sasa waTz wenzangu, tudai haki yetu kila tuwaonapo wabunge wa wajimbo yetu wakipita popote pale. kwani wanadai...
  3. N

    Vyombo vyetu vya habari ni mateka wa vyombo vya magharibi?

    Sote ni mashahidi kuwa tulishuhudia jinsi vyombo vya magharibi vilivyorepoti juu ya kila kilichoitwa Arab spring, na vyombo vyetu vilikuwa ni photocopy ya vyombo hivyo. Hivi sasa ni zaidi ya miezi mitatu wananchi wa America wapo Wall street wakifanya yaleyale waliokuwa wakifanya watu wa...
  4. N

    Kupanda kwa thamani ya Tsh. dhidi ya Us. dola kunaashiria nini? (kutoka 1800---1584 within a month)

    Nakumbuka shilingi ya tanzania ilishuka nakufikia thamani ya 1800 kwa dola moja ya Us na sasa imepanda na imefikia 1584 leo. hii inaashiria nini? kipindi ikishuka thamani kila siku zilikuwa zinakuja threads mpya kuripoti hilo lakini mbona sasa wale maripota wetu hatuwaoni? tunawashauri pia...
  5. N

    Yaliyopata kunenwa na Rev. Chris Mtikila (mwananchi, 27 may 2010)

    Mtikila alisema kuwa kuzinduliwa kwa jukwaa hilo ni kuzaliwa kwa tatizo kubwa kwa Rais Jakaya Kikwete na kumtaka ajihadhari, akidai kuwa ajira yake sasa ipo kwenye "danger zone (sehemu ya hatari).” Mtikila, ambaye ana ujasiri wa kutoa kauli zisizo na simile, alisema jukwaa hilo ni gharika kubwa...
  6. N

    Wasemavyo wa-US juu ya uchaguzi wetu wa Oct 31, 2010.

    POLITICAL CONDITIONS Tanzania held its fourth multi-party general elections on October 31, 2010. The ruling CCM party faced its most serious competition in the multi-party era. President Kikwete was re-elected with 61.7% of the vote, reduced from 80% in 2005. The Chadema party was for the...
  7. N

    Jamani mbona rais wangu hakuongelea suala la Dowans?

    Jana nimeisikiliza kwa umakini hutuba ya rais wa JMT nikiwa na matarajio makubwa ya vitu viwili ambavyo vinagusa hisia za waTanzania wengi kwa sasa, nayo ni 1. Katiba mpya 2. Dowans Suala la katiba amenifurahisha. Pia siku zote huwa sina wasiwasi na kikwete kwa vitu vinavyogusa jamii kuvitolea...
  8. N

    Wizi wa aluminium kwenye jimbo la Anne Kilango Malecela...

    Wadau kuna taarifa kuwa kuna mtu mmoja anaitwa willy akishirikiana na foreigners wanachimba na kusafirisha aluminium kwenda Kenya. Inavyojulikana serikalini ni kuwa huyu mtu anachimba chokaa kuipeleka kenya lakini kiuhalisia ni kuwa kwenye magari yake chokaa inawekwa juu tu kuficha kilichopo...
Back
Top Bottom