mwl. nyerere ametawala Tanzania kwa takriban miaka 24, lakini nimekuwa nikijiuliza, hivi ni kwa nini vyombo vya habari huwa vinatuonyesha hotuba alizotoa baada ya kung'atuka kutoka madarakani pekee? kwani nini hawatuonyeshi na zile akiwa madarakani? Msaada tafadhali. (Note; if you have no data/information you have no right to say, please nasisitiza)