Wadau kuna taarifa kuwa kuna mtu mmoja anaitwa willy akishirikiana na foreigners wanachimba na kusafirisha aluminium kwenda Kenya. Inavyojulikana serikalini ni kuwa huyu mtu anachimba chokaa kuipeleka kenya lakini kiuhalisia ni kuwa kwenye magari yake chokaa inawekwa juu tu kuficha kilichopo ndani. Tafadhali kama kuna mhusika au kuna mtu yuko karibu na wahusika basi taarifa hizi zifanyiwe kazi. Sehemu yenyewe ni huko Ndungu milimani mkoani Kilimanjaro kwenye jimbo la mheshimiwa Anne Malecela. Sorry kwa kuileta hii thread kwenye jukwaa la siasa. Lakini mimi nimeichukulia kama issue sensitive inayogusa moja kwa moja masilahi ya taifa letu.