Kuna mambo yanashangaza sana. Saed Kubenea kabla hajawa mbunge, hakika nilikuwa namuadmire sana kutokana na hoja alizokuwa anajenga. Nadhani hiyo ndio sababu ya wana Ubungo kumwamini na kumpa kura za kutosha hadi akawa mbunge.
Hata hivyo, najiuliza sana nini kimemkumba? Kwa nini kapwaya sana...
Wakati Kikwete akiwa Rais, Ridhiwani Kikwete alitajwa kumiliki mali nyingi sana. Makampuni mengi yakiwemo ya usafirishaji yalidaiwa kuwa ni ya Ridhiwani. Hata nyumba zilizokuwa zinajengwa maeneo muhimu ilisemekana ni ya Ridhiwani.
Humu kwenye social media mada za Ridhiwani zilikuwa hazikauki...
Mfanyabiashara Mohamed Mustapha (anayeongea na simu) na wenzake, wakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana kukabiliana na tuhuma za kuibia Serikali kodi ya Sh milioni 7 kwa kila dakika kwa kipindi kirefu.
**
Hatimaye mfanyabiashara aliyetajwa na Rais John Magufuli kuwa...
Nimetafakari sana jinsi anavyoteseka Julius Mtatiro. Nimetafakari sana jinsi Lowasa na Juma Duni Haji wanavyopitia wakati mgumu. Natafakari sana jinsi Zitto Kabwe anavyotamani kuwa kwenye chama kikubwa cha siasa. Natafakari sana jinsi Dr Slaa anavyotamani kurejea CCM. Natafakari sana jinsi David...
Ijumaa kareem ndugu zangu.
Wakati Sumaye anatangaza kujivua uanachama wa CCM, alisema kuwa anaenda UKAWA lakini hakubainisha anaenda chama gani. Taarifa za ndani zilisema kuwa Sumaye anahamia NCCR na kwamba ndiye anayeandaliwa kugombea Urais ikiwa Lowasa ataishia njiani.
Hata hivyo, akiwa...
HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke' kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri...
Kaka zangu habari za Jumamosi.
Taarifa za kuaminika nilizopata kutoka chanzo cha kuaminika ni kwamba, aliyekuwa Mbunge wa Sikonge kwa tiketi ya CCM na ambaye ni mgombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA, Said Nkumba, yupo mbioni kujivua uanachama wa chama hicho, kuachia nafasi ya mgombea Ubunge na...
Wakati Lowasa anahamia CHADEMA, alienda kwa tambo nyingi huku akiwaahidi viongozi wa CHADEMA kuwa kuna mafuriko ya wana CCM kuhama chama chao na kujiunga na CHADEMA.
Hata hivyo, mpaka sasa, ni takriban wiki tatu sasa tangu mwanasiasa huyo ahamie CHADEMA na hakuna dalili za yale mafuriko...
Habari za Jumatatu wapendwa.
Taarifa nilizopata hivi punde zinasema kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA na UKAWA, Edward Lowasa ameteua timu ya watu watano ambao ndio watakaosimamia kampeni za kumnadi mwanasiasa huyo kanda ya Ziwa. Taarifa zinasema kuwa walioteuliwa kuchukua jukumu hilo ni...
Kaka zangu, hebu pakueni wenyewe muone jinsi wenzetu wazungu walivyoandika historia ya Edward Lowasa. Hakika inahuzunisha na inasikitisha. Nilijua haya mambo anasingiziwa kumbe hata wenzetu wazungu wanamuona vivyo hivyo. Kwa ujumla wake Lowasa ni fisadi na mtumiaji vibaya wa madaraka
CHANZO...
Kaka zangu na wasomaji wote wa JF.
Taarifa nilizopata hivi punde zinasema kuwa kilichofanyika kwa Juma Duni Haji ni ulaghai wa kisiasa. Kwamba, Juma Duni Haji ameteuliwa kuwa Mgombea Mwenza bila ya kuwa mwanachama wa CHADEMA. Hakika hii ni fedheha kubwa sana kwa MBOWE na chama chake cha...
Nawaza kwa kina sijui vile vicoba vilivyokuwa vinafadhiliwa na Lowasa vitaendelea kupata mgawo. Nawaza tu
Nawaza kwa sauti sijui zile helkopta alizokuwa anakodi Lowasa kwenye trip zake za kisiasa zitaendelea kutumika. Nawaza tu
Nawaza kwa kina sijui kama Lowasa ataendelea kuchangia ujenzi wa...
Jamani kaka zangu na dada zangu, natumai kuwa hamjambo.
Leo nimeona na mie nianzishe mada baada ya kuwa mchangiaji kwa muda mrefu. Kama mtakumbuka kuwa baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kutoa maneno ya uchochezi sambamba na kutangaza maandamano yasiyo na kikomo nchi nzima kwa kile...
Wana body, nawasalimu nyote.
Kwa siku kadhaa sasa, tumekuwa tukishuhudia mada mbalimbali zinazohusu mtandao wa Saidia Lowasa Aingie Ikulu ambao kwa mujibu wa taarifa hiyo mwenyekiti wke ametajwa kuwa ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa kati ya 1996 na 2006, APSON...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.