Kwa nini utajiri uliosemwa wa Ridhiwani Kikwete umetoweka baada ya baba yake kuondoka madarakani?

Hot Lady

JF-Expert Member
Aug 7, 2014
1,035
638
Wakati Kikwete akiwa Rais, Ridhiwani Kikwete alitajwa kumiliki mali nyingi sana. Makampuni mengi yakiwemo ya usafirishaji yalidaiwa kuwa ni ya Ridhiwani. Hata nyumba zilizokuwa zinajengwa maeneo muhimu ilisemekana ni ya Ridhiwani.

Humu kwenye social media mada za Ridhiwani zilikuwa hazikauki.

Hata hivyo nashangaa sasa hakuna anayemtaja tena Ridhiwani. Hii inanipa maswali mengi sana.

Je zile shutuma zilikuwa za kutengeneza?

Waliokuwa wanamuandika ilikuwa ni mkakati wa kumchafua baba yake?
 
Fitina ya siasa mbaya sana! Kama ufisadi wa lowasa ulifutika, basi hata bahari inaweza ikakaushwa na fitina mbaya ya chadema. Ndo maana wanashindana bila kushinda sababu ya fitina na miungu yao wanayoanza nayo na kumaliza nayo.
 
Mtoto Wa rahisi mstaafu unamzungumzia?
Baba yake hakuwai kumtetea ila huyu bamdogo wake kaapa kumlinda yeye na baba yake na GSM yao.
 
Mtoto Wa rahisi mstaafu unamzungumzia?
Baba yake hakuwai kumtetea ila huyu bamdogo wake kaapa kumlinda yeye na baba yake na GSM yao.
Rais kasema atawalinda wastaafu. Hakusema na watoto wake. Ebu njooni na michango halisi
 
Hta mm nashangaaaaa

Home shopping centre riz moko na wizi WA kuwaibia wafanyabiashara kkoo kwa clearing

Uda riz moko nashaaa list ya wenye hisa hayupo


Riz moko agent WA sembe sema magu kabana
ILA huenda story nyingine zilikuwa promo tuu
 
ile benki yenye asili ya afrika kusini sijui kama haitafilisika
Iseme basi. Mbona unaandika kwa mafumbo? By the way hoja yangu si kutaka kufufua makaburi. Najiuliza tu mbona makamanda mmeacha kuandika ufisadi wa Ridhiwani sasa?
 
Hta mm nashangaaaaa

Home shopping centre riz moko na wizi WA kuwaibia wafanyabiashara kkoo kwa clearing

Uda riz moko nashaaa list ya wenye hisa hayupo


Riz moko agent WA sembe sema magu kabana
ILA huenda story nyingine zilikuwa promo tuu
Watanzania ni waongo na wazushi sana
 
Hta mm nashangaaaaa

Home shopping centre riz moko na wizi WA kuwaibia wafanyabiashara kkoo kwa clearing

Uda riz moko nashaaa list ya wenye hisa hayupo


Riz moko agent WA sembe sema magu kabana
ILA huenda story nyingine zilikuwa promo tuu
Hadi mabasi ya Ratco walizusha ya riz 1
 
Back
Top Bottom