Hivi Kwanini MH mbowe amekosekana kwenye bunge la leo
Kwa mjadala wa cyber crime law angetuokoa kama alivyofanya kwenye katiba pendekezwa
Pongezi kwa LISSU na Mnyika wamepigana lakini wanahitaji mtu mwenye BUSARA kama mbowe
Maana hawa watu wanatuburuza
Polisi wa Tanzania wamekuwa WANYAMA kwa kuwatendea wananchi UKATILI, HAWA HAWA POLISI wanaishi na sisi uraiani kwanini CCM UNAWATUMIA POLISI KUTENDA UKATILI KWA WANANCHI?
ENOUGH IS ENOUGH
TUSIPOKEMEA HILI HATA NDUGU YAKO ATAPIGWA NA KUFA UKIWA UNAMUANGALIA
SOURCE:UNYAMA!! POLISI WAPIGA...
Hii picha ya chini ambayo inasambazwa sana kwenye mitandao ya kijamii kuwa mwanajeshi aliyeuwawa
SOURCE YAKE HII HAPA
2. hii picha inasambazwa kwenye mitandao ya kijamii hasa hasa whatap na Instragram kuwa wanajeshi wapo kw enye mapambano SOURCE YAKE HII HAPA YA 2008
3. HII ya chini...
WanaJf kwa kadri upepo unavyovuma kwa kasi inawezekana upepo ukaelekea magogoni kwa mkuu wa nchi
Wiki iliyopita ililetwa tuhuma bila ushahidi na mwanaJF kwa Miraj na Salama Kikwete wamepata mgao
Kwa muda unavyoenda Magogoni wanatumia nguvu nyingi kuzuia haya majanga ya Escrow
Swali langu...
Ndugu wanaJf naomba msaada wenu
Kuna vitu nataka kuorder kutoka amazon lakini kila nikijaribu kufanya process za malipo napata hii msg
Nimejaribu kubadilisha ordering address lakini imegoma, ni vitu vinne ambavyo vinatoka seller tofauti na kote napata the same msg
Sorry, this item can't...
Wasanii marufuku kuvaa 'kombati' za jeshi
NA JACQUELINE MASSANO
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imewapiga marufuku wasanii wote nchini kuvaa mavazi yanayofanana na sare za jeshi la wananchi.
Onyo hilo lilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai...
WanaJF naomba msaada wenu
Nataka kununua Machine ya kusaga Mahindi hapa Arusha au naweza kuagiza Moshi kwa ajili ya kamrdai kadogo ninakotaka kufungua,
Nimefunga umeme wa three phase, na nimeishajenga banda la kuweka machine.
Sasa nataka kununua kati ya machine ya kinu cha kusaga size...
Dar es Salaam. Wakati Ikulu ikitangaza kwamba Rais Jakaya Kikwete amevunja Tume ya Mabadiliko ya Katiba, tume hiyo imetoa ufafanuzi wa baadhi ya maeneo ya Rasimu ya Katiba.
Taarifa ya Ikulu iliyotolewa jana, ilieleza kuwa Tume ya Jaji Joseph Warioba ilivunjwa tangu Machi 19, ikiwa ni siku moja...
Zitto akilejea barua yake ya 2011 akiwa anaongea na mwandishi wa gazeti la majira amesema hatapokea posho yoyote kwenye hili bunge la katiba. Zitto amesema ametumwa na wanakigoma kuja kuandika katiba wala sio kipokea posho.
Zitto ameongezea kuwa kuwa huu ni wizi kwa wananchi yaani mwalimu...
Akiongea na wanahabari leo mchana kamanda Kova kasema hawawezi kumuita Mhe. Kapuya kasababu haya ni mambo yake binafsi na hakuna mtu yeyote ambaye amakuja hapa polisi kulalamika kutendewa vibaya na Mhe. Kapuya.
"Hata hivyo kamanda Kova kasema kama kuna ushahidi wowote wa kueleweka sio...
Kwa hili natoa onyo na ushauri kwa CLOUDS FM kuacha tabia yao ya uchonganishi kwenye siasa maana mmeweza kuwavuruga wanamziki na kuwachonganisha na kuwasababisha kupigana na kuuwana lakini naona mnaingia kwenye game la siasa kwa nguvu kuelekea 2015.
Kama mnatafuta habari toa habari kwa...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Nacte imewadanganya wanafunzi wanaotegemea kujiunga na elimu ya chuo kikuu
mwanzoni wanafunzi wenye diploma walipoanza kuapply kupitia Nacte walipewa matumaini ya kuchaguliwa lakini baada ya selection ya kwanza kutoka waliochaguliwa walikuwa hawazidi wanafunzi 60...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.