Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 685
Kwa hili natoa onyo na ushauri kwa CLOUDS FM kuacha tabia yao ya uchonganishi kwenye siasa maana mmeweza kuwavuruga wanamziki na kuwachonganisha na kuwasababisha kupigana na kuuwana lakini naona mnaingia kwenye game la siasa kwa nguvu kuelekea 2015.
Kama mnatafuta habari toa habari kwa kubalance source mbili mimi sio mwandishi wa habari wala mtangazaji lakini issue ya kubalance story/news ni kitu muhimu sana, kwa jinsi mlivyoingia kwenye siasa za uchonganishi msije kushangaa LENU LINACHOMWA MOTO siasa sio mchezo kama mnavyofikiri.
Natoa mifano michache leo katika kipindi cha jamaa simujui jina kinaanza sa moja mpaka sa 3 nilisikia akimhoji Zitto, kwa mazingira yale ya maongezi Zitto anawashambulia viongozi wa CDM na wanachama, pia amamshambulia Lema.
Kama clouds FM wangekuwa wanabalance news wangemhoji lema au viongozi wa cdm lakini sio huu uchonganishi.
Zitto na @Jmakamba na wengine wamekuwa wakiojiwa sana pindi wanapoguswa hizi siasa za Clouds ambazo wameanzisha kuna kipindi watajuta
Nakala Kwa Ruge, Mwita25,
Kama mnatafuta habari toa habari kwa kubalance source mbili mimi sio mwandishi wa habari wala mtangazaji lakini issue ya kubalance story/news ni kitu muhimu sana, kwa jinsi mlivyoingia kwenye siasa za uchonganishi msije kushangaa LENU LINACHOMWA MOTO siasa sio mchezo kama mnavyofikiri.
Natoa mifano michache leo katika kipindi cha jamaa simujui jina kinaanza sa moja mpaka sa 3 nilisikia akimhoji Zitto, kwa mazingira yale ya maongezi Zitto anawashambulia viongozi wa CDM na wanachama, pia amamshambulia Lema.
Kama clouds FM wangekuwa wanabalance news wangemhoji lema au viongozi wa cdm lakini sio huu uchonganishi.
Zitto na @Jmakamba na wengine wamekuwa wakiojiwa sana pindi wanapoguswa hizi siasa za Clouds ambazo wameanzisha kuna kipindi watajuta
Nakala Kwa Ruge, Mwita25,
Last edited by a moderator: