Search results

  1. mzamifu

    Wananchi wenye vilio wamlilie nani?

    Wana Jf, kama mnakumbuka kipindi Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani wananchi wenye vilio walijipamga foleni ndefu kumlilia asikilize vilio vyao. Walipata ahueni japo kwa kusikilizwa tu. Walimshangilia na kumpenda hata kama Mrema alikosea hapa na pale. Mrema alikuwa maarufu kwa kutoa siku saba...
  2. mzamifu

    Maoni: Tumbua tumbua iende hadi vijijini

    Ndugu wanaJF Napenda kutoa maoni yangu kuhusu haja ya kuangalia hali ya uendeshaji mambo kule vijijini kwani kwa sasa wafanyakazi wa umma ndio wanekuwa wakishugulikiwa zaidi. Kijiji ni mahali muhimu sana katika maendeleo ya nchi. Ikiwa mambo hayaendi vizuri vijijini maendeleo hayataweza...
  3. mzamifu

    JE, WAPINZANI WANALETA FUJO AU WANAKOSOA?

    Tumeshuhudia mengi katika kipindi hiki cha awamu ya tano. Kumekuwa na msuguano katika medani ya siasa tangu bungeni hadi huko mitaanani.Kubwa ni kwamba wapinzani wanasema demokrasia inapigwa teke. Mamlaka inakataa hilo na kutumia vyombo ya dola na hata kutoa kauli kupinga hii dhana ya wapinzani...
  4. mzamifu

    Dalili za kura za hasira

    Wana JF, Salaam Kutokana na yanayotokea ndani ya CCM kwa sasa kuna dalili za kuwepo kwa kura za hasira kuanzia sasa hadi uchaguzi mkuu. Kwa mfano kuna uwezekano wale waliokuwa wakiwashabikia watia nia fulani ambao hawakupita wakapiga kura za hasira na kusababisha matokeo tofauti na matarajio ya...
  5. mzamifu

    Kukosoa Chama si chuki bali ni kukijenga pia

    Humu JF kuna utamaduni umezuka. ikiwa mtu atakikosoa chama fulani basi wapezi wake watamshambulia vilivyo huku wasio wapenzi wa chama hicho wakitoa likes nyingi tu. Nadhani ifike mahali tujiulize ni kwa nini chama fulani kinapata wakosoaji wengi kuliko vyama vingine. wapenzi wa chama hicho...
  6. mzamifu

    Wastani wa ufaulu shule Binafsi unaumiza

    Shule za binafsi huweka wastani wa alama za ufaulu ili mtoto aweze kuendelea na masomo. Shule moja hapa Dar imeweka wastani wa alama 61. sasa mtoto mmoja kapata wastani alama 59 tena kwa kujipinda hasa. Lakini shule imemlazimisha kurudia kidato. mtoto kaumia hasa hana raha kabisa. Hili tatizo...
  7. mzamifu

    Mafunzo ya JKT yazingatie mahitaji ya sasa

    Wanajamvi nawasalimu na kuwaomba tujipongeze kwa kuingia mwaka mpya wa 2015. Napenda kushauri tu kuwa mafunzo ya kijeshi yanayotolewa kwa mujibu wa sheria yazingatie mahitaji ya sasa. Wakati yalipoanzishwa miaka ya 1960 vijana waliojiunga na mafunzo hayo walikuwa na uhakika wa kupata ajira...
  8. mzamifu

    Watumishi wa Umma waadhibiwe na wa chama wapete

    Tumeshuhudia katika sakata la Escro Prof. Tibaijuka na wenzake wakikumbwa na dhoruba kali iliyowatoa ulingoni. Katika chama cha mapinduzi CCM kuna mtu aitwae Chenge naye alipokea kiasi sawa na Tibaijuka. Kama chama hiki ndicho kinachotawala, tena kina maadili na miiko yake kwa nini kisichukue...
  9. mzamifu

    Si kwamba CCM haina watu wazuri wanaofaa kuwa rais wa nchi

    CCM ina watu wengi material kwa kiti cha urais. Tatizo kubwa ni wale wanye nafasi ya kumpendekeza. Ikiwa wapendekezaji/wateuzi watazingatia msemo maarufu wa "mwenzetu" ujue hatuwezi kumpata rais bora kutoka CCM. Neno "mwenzetu" ni yule atakayewajali, kuwalinda na kuwaenzi waliomteua; ni yule...
  10. mzamifu

    Wazazi wazuia ndoa ya binti yao kufungwa

    Wazazi wa binti mmoja hapa Dar es Salaa wamezuia ndoa ya binti yao iliyokuwa ifanyike katika kanisa moja hapa Dar es Salaam kwa madai kuwa hawakuwa wamepokea mahari wala hawakuwa wamujulishwa kuhusu mchakato wa maandalizi ya harusi. Walishtukia katika hatua za mwisho ambapo matangazo yote ya...
  11. mzamifu

    Kufungwa kwa kituo cha Mwenge kumeongeza foleni barabara ya Ali Hassan Mwinyi

    Tangu kituo cha mabasi cha mwenge kihamishiwe Makumbusho foleni imezidi sana na kuwa kero kuanzia Mwenge hadi Makubusho kwenyewe. sababu kubwa ni kuwa mabasi yote yaliyokuwa yanatokea barabara za Sam Nujoma, Tegeta, Kawe na yale ya Sinza kuishia Mwenge yamelazimika kuingia barabara ya...
  12. mzamifu

    Ipi njia ya kutengeneza bisi zilizo bora?

    wakuu, naomba mjuzi wa kutengeneza pop corn zilizo bora na zitakazopendwa na wateja kwa ladha yake. tunayo machine ya pop corn lakini tunakosa ujuzi wa kuweka manjonjo hivo tuko tayari kujifunza kwa wenye uzoefu.
  13. mzamifu

    Muungano: Faida, Changamoto, na Hofu

    Salam wakuu, tafadhali someni na mchangia kwa utlivu Faida za muungano Kusema kweli faida za muungano zinaweza kuelezwa vizuri zaidi na wale walioamua kuungana siku ya kwanza. Kila mmoja alikuwa na matarajio Fulani ambayo tukimuuliza kwa sasa anaweza kutueleza kama yamefikiwa na kwa kiasi gani...
  14. mzamifu

    Tofauti kati ya walio wengi na walio wachache

    Katika bunge la katiba walio wengi wanaongozwa na hisia za ushabiki na makubaliano kama kundi moja. Kwa mfano husema walio wengi walizaliwa tanzania hivo hawaijui tanganyika. Hawajadili hoja kuwa tanzania ilijengwa katika hali ya makosa ambayo yanatakiwa ksahihishwa. mfano Nyerere alizaliwa...
  15. mzamifu

    Kuna mashaka katika mchakato wa katiba mpya

    Kaika hatua hii ya bunge la katiba ni wazi kwamba mchakato unatia shaka kuhusu hatima yake kwa mantiki kwamba: huwezi kuwa na serikali tatu bila hatari ya kusambaratika muungano. huwezi kuwa na serikali mbili moja ikiwa na utambulisho wake na mamlaka yake huku nyingine ikiwa domant ukaita huo...
  16. mzamifu

    Udereva wa serikali na ukonda wa chama

    Ukichunguza sana utagundua kuwa serikali ya JK inafanya kazi kama dereva na CCM kama konda, wakati fulani dereva anafuata taratibu za udereva lakini konda anataka kumpeleka puta dereva. kwa wale wa mjini maneno kama "kula boda"; "usiache kichwa"; "Vichwa hivyo"; "acha hizo kokoto/chenga"; "...
  17. mzamifu

    Jukumu la CCM kuongoza linaimarika au linatetereka?

    Wadau bila shaka mtakubaliana na mimi kuwa jina CCM lina historia ya muda mrefu. Historia ya CCm inaanza katika vuguvugu la kudai uhuru wa nchi mbili za tanganyika chini ya TANU na Zanzibar chini ya ASP. Wanachi wa nchi hizi walivipa majukumu mazito vyama hivi. mara baada ya uhuru Tanganyika na...
  18. mzamifu

    CCM wasituburuze kuhusu suala la katiba

    CCM hawakuwa na agenda ya katiba mpya katika manifesto yao ya uchaguzi 2010. hawakuwa na suala la serikali moja wala tatu bali mbili. sasa ni kwa nini wanatuburuuza katika suala hili? utaona wamepitisha mswada harakaraka bila wapinzani, kwa nini?
  19. mzamifu

    Maajabu ya Msamaha

    Kuna mtu mmoja tu duniani amepata umaarufu uliopitiliza kwa sababu tu ya kusamehe. wangapi wanajua kuwa pamoja na mambo mengine kama kuondoka madarakani mara baada ya miaka mitano tu kubwa kwa Mandela ni kuwasamehe watesi wake? Basi jamani nasi Watanzania tujifunze kusamehe. haya ni maajabu ya...
  20. mzamifu

    wanafunzi wengine ni hatari kwa walimu

    wanafunzi wamegeuka chinjachinja wanatembea na mabisu kweny mabegi yao. wanaandika maandishi ya hatari, wanajiita majina ya hatari. Sijui wanaathiriwa na hizi movies za mauaji kwenye ma tv?a anglai hili begi la mwanafunzi na vilivyokuwemo
Back
Top Bottom