Tofauti kati ya walio wengi na walio wachache

Tofauti kati ya walio wengi na walio wachache

mzamifu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2010
Posts
6,410
Reaction score
3,876
Katika bunge la katiba walio wengi wanaongozwa na hisia za ushabiki na makubaliano kama kundi moja. Kwa mfano husema walio wengi walizaliwa tanzania hivo hawaijui tanganyika. Hawajadili hoja kuwa tanzania ilijengwa katika hali ya makosa ambayo yanatakiwa ksahihishwa. mfano Nyerere alizaliwa wakati wa ukoloni lakini aliupinga kwa kuwa haukuwa halali. Walio wachache wanajenga hoja kwa mifano na takwimu ambazo ni proven facts. Kama ilivyo hata kwenye dini wema huwa ni wachache sana. Watakatifu pia ni wachache. Kwa hivi japo wachache wanapuuzwa maoni yangu ni kwamba hawa ndio wema na watakaotuletea katiba bora. Walio wengi ni kama wanaelekea motoni na wengi wamenaswa kwenye mtego.
 
Walio wengi wana mawazo mgando na michango isiyo na takwimu pia wanafanya mambo kishabiki bila kujali Taifa. Walio wachache wana mawazo yaliyo jaa hekima na yenye utafiti. Yenye ukweli na yenye mustakabali wa Taifa.
 
Walio wengi wapo kwa kuzomea tu hawana hoja,
Hoja zao zinafanana kama ziliandaliwa vile na mtu mmoja,
Hao wengi wako kwa ajili ya kuzomea na wanalipwa kbs,
Mjumbe mwenzao akiongea hata kitu si cha point makofi waaaaaa waaaaaa!!!
 
Walio wengi wanalipa fadhila kwa bwana wao aliye watuma hapo. Walio wachache wanatamani kuileta katiba ya kweli kwa miaka 50 ijayo.
Walio wengi wanatamani tuletewe katiba ya kudumu siku chache ili warudishwe tena mjengoni kabla vile viti havija ondolewa. Wakae, wale wanywe, ili wapate nguvu ya kujifanya kulialia na kuwatukana wenye uchungu na Tanganyika.
 
Waliowachache wanatukana sana na kufanya fujo lakini waliowengi ni wastarabu na wanajenga hoja sana.
 
Katika bunge la katiba walio wengi wanaongozwa na hisia za ushabiki na makubaliano kama kundi moja. Kwa mfano husema walio wengi walizaliwa tanzania hivo hawaijui tanganyika. Hawajadili hoja kuwa tanzania ilijengwa katika hali ya makosa ambayo yanatakiwa ksahihishwa. mfano Nyerere alizaliwa wakati wa ukoloni lakini aliupinga kwa kuwa haukuwa halali. Walio wachache wanajenga hoja kwa mifano na takwimu ambazo ni proven facts. Kama ilivyo hata kwenye dini wema huwa ni wachache sana. Watakatifu pia ni wachache. Kwa hivi japo wachache wanapuuzwa maoni yangu ni kwamba hawa ndio wema na watakaotuletea katiba bora. Walio wengi ni kama wanaelekea motoni na wengi wamenaswa kwenye mtego.

Ameeeeeen
 
Walio wengi wanalipa fadhila kwa bwana wao aliye watuma hapo. Walio wachache wanatamani kuileta katiba ya kweli kwa miaka 50 ijayo.
Walio wengi wanatamani tuletewe katiba ya kudumu siku chache ili warudishwe tena mjengoni kabla vile viti havija ondolewa. Wakae, wale wanywe, ili wapate nguvu ya kujifanya kulialia na kuwatukana wenye uchungu na Tanganyika.
Kwani walio wachache wamejileta hapa mbona hata wao wameteuliwa acha habari zako za ajabu kama bavicha.
 
Kwani walio wachache wamejileta hapa mbona hata wao wameteuliwa acha habari zako za ajabu kama bavicha.

mjepo;
Andiko langu na Bavicha wapi na wapi? Yaani Maccm banaa agrrr. Kila anayewapinga kwao ni CDM tu. Jamani kuna vyama more than 20.
Ndo maana mnashindwa kwa point zenye nguvu mnajifanya kuingiwa kifafa. Jitu ziima la miraba minne linaogopa kuyasoma mawazo ya wenye akili na kusema limechoka. Poleni
Hiyo ni rasha rasha, masika baado kabisa. Kama ccm mpo mabondeni, hameni mje huku. Serekali 3 ndio maneno
 
Hoja ya kuzaliwa ndani ya Tanzania haina mashiko, haya ni maeneo machache ndani ya Europe ambayo kuna vugu-vugu la kujitenga wakati kizazi chote kimezaliwa bila ya kuziona hizo nchi wanazodai.

Scoltand - UK
Frisland - Holland
Catalunya - Spain
Chechnyia - Urusi

Suala la kuzaliwa kwenye utaifa gani halina mashiko kabisa.Ni suala la hisia za kizalendo na kitaifa, siamini kama lina uhusiano wowote muda.

Kama ni muda basi nadhani maoni ya wazanzibari wengi wangelisema serekali moja.Lakini ni kinyume chake kabisa mkataba - Kumaanisha wanahitaji uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao ya msingi badala ya ile centrailized Dodoma commandos :smile-big:
 
Back
Top Bottom