Naomba msaada wa haya maswali.
(a) Formulate a business research title of your choice
(b) Identify three independent variables and one dependent variable from your title in (a) above
(a) Create a conceptual frame work showing the relationship between independent and dependent variables...
Habari wanajamvi, nauza asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo kwa bei ya jumla na rejareja. Napatikana bukoba ila naweza tuma mzigo popote ulipo. Asali safi kutoka tabora. Mawasiliano 0757769990
Sent using Jamii Forums mobile app
habari wana jamvi, naombeni msaada wa kutoa hii error (retriving information from server) maana nashindwa kundownload application yoyote kwenye google play store, asanteni
Habari wanajamvi.
Mimi natokea unyamwezini ambapo hutumia asali ya nyuki wadogo ikichanganyw na mdarasini kitu inakuwa kama mti mkavu.
Kwenye mechi lazima mtoto aombe maji ya kunywa, je hapo maeneo ya kwenu mnatumia vyakula gani vya asili kuongeza nguvu za kiume? Naomba kuwasilisha.
wakati walimu wengine wapya katika halmashauri nyingine kama ilemela,kigoma mjini,kakonko nk..wakiwa wamepew pesa ya kujikimu ya siku saba. Walimu wapya wa bukoba mjini wamepew pesa ya siku tano tu, yaan elfu 65 kwa shahada ambayo n 325000 na elfu 45 kwa stashahada. Ambayo ni 225000. TAMISEMI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.