Mes amis que nous sommes tous les enfants de Dieu, je tiens seulement à souhaiter à tous les Ramadan kareem même si l'im chrétiens, mais je vous souhaite à tous. Que Dieu vous bénisse tous.
Habari zenu wadau, Sijui kwanini natamani sana kuona wizara ya Nishati na Madini, angepewa John Magufuli hata kwa muda mchache tu.
Najiuliza sana sijui ingekuaje au angefanya nini, au ndo angeanza kwa kutimua maelfu ya watu,
au mpaka sasa umeume ungekua umesharudi ndani ya wiki moja, natamani...
Habari za weekend people, nimekosa la kufanya nikaona niulize kwenu wadau Mimi naishi na wadogo zangu wawili wakike na wakiume wakiume anafanya kazi, wakike yuko chuo ila anafungua mwezi huu ataondoka. Sasa tuna house maid wetu ambaye mimi ndo nilimleta kutoka mwanza vijijini...
Hi my people! Kunamambo hua najiuliza nakosa jibu naishia kucheka mwenyewe, hivi kwa nini wanaoongoza kwa vituko niwanaume? Utakuta amechumbia mwenyewe akaoa baada ya muda ooh sikutaki nilikuoa kwa bahati mbaya. Haya utakuta kalewaa mpaka kakutwa kalala barabarani ni mwanaume huyo, haya unakuta...
Habari za toka mwaka jana wana Jf. Kwanza na mshukuru mungu kutupa uzima. Kuna jambo limekua likinitatiza kwa muda mrefu sasa, sijawahi kupata jibu na nimeshawahi kujaribu kuchunguza kwa wahusika kwa kuuliza maswali flani pengine ntapata jibu lakini wahusika hua hawako wazi. Yeyote anaeweza...
Wapendwa wana Jf, kama tunavyoona mwaka ndo huo unamalizikia, mimi Mamushka ninatafuta mtu wa kumaliza nae mwaka. Sifa. Awe mwanaume mrefu, mweusi kiasi, aliejazia kakomaa mwili kidogo ila sio usoni iwe kwa mazoezi au ndo alivyozaliwa haijalishi. Kazi yake sio muhimu sana kwangu japo engineer...
Wapendwa wadau wa Jf, huyu mkaka ananitia hasira sana, ni mtu tunafahamiana kidogo japo hakua rafiki, mara kaamua kutangaza nia yake kwangu, ukweli ni mkaka mzuri tu anaonekana ana moyo mzuri shule kaenda kaelimika, aliniambia angependa awe na mimi kama wapenzi, ukweli nilimwambia NO siwezi...
Habari zenu wana JF, Napenda kuomba msaada wenu wa mawazo ili na mimi nipate ushauri wenye hekima. Nina rafikiangu alipata mchumba wakati yule kaka anamuomba dada huyo awe mchumba wake mungu akijalia wawe mke na mume dada alikataa akawa haamini kama nikweli, lakini baada ya huyo kaka kumfwatilia...
Jamani wadau nisaidieni, kuna mtu alikutana na mdogo wangu akampenda sana, akamfwatilia bila mafanikio, then akakutana na mimi akachanganyikiwa zaidi na mimi nikasema no sasa karudi kwa mdogowangu tena yani hizi air time za bukukumikumi nianatuma kama hana mawazo, akitolewa nduki anarudi kwangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.