Ushujaa gani unafyatua risasi hewani sababu ya maneno tu...
Pamoja na Malima kupelekwa mahakamni yule askari anapaswa kuchukuliwa hatua za kinidhamu kwa matumizi mabaya ya silaha
Hapa kinachoonekana kwa wana jamvi wengi wako negative kwa Mr Malima,twende turudi nyuma askari wengine wanakera kilichotakiwa Malima angekua mstaarabu....ila pia na yule askari si mstaarabu hata kidogo "ooooh mkanda wa bendera"...yote ya nini hayo!!!!...kama waliona Malima mkosaji wangemchukua...
Kilimo in sayansi...nchi yetu imetupilia mbali swala LA kilimo zimebakia Sera ambazo hazitekelezwi,wakulima wamekata tamaa watu wanalima wanapata mazao soko linawaangusha,in short there is no support from gov..
Kipaumbele in viwanda vya mawazo kwa sasa...
Adui mwombee njaa.....
Hatari sana....achana na kithungu cha mbele ya kadamnasi!!!.…..mbaya zaidi class kuwepo na wapenda sifa wasioelewa na maswali lukuki...patamu hapo unaweza omba ardhi ipasuke
Uliombaje kazi kama hujui wanajishughulisha na nn?
Anyway ni shirika la watoa huduma za afya lisilo na mipaka kwenye majanga na wakimbizi kwenye kambi zao..
Alafu usiwe kilaza namna hiyo ndugu hebu Google web yao usome kwa maelezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.