Ni siku yako ya kwanza leo umelala katika udongo wa ardhi toka jana zoezi la kukuhifadhi katika makaburi ya Ununio likamilike. Janken umekwenda kaka tuna imani Mungu amekupokea kwa furaha baada ya kutimiza malengo aliyokupa hapa duniani.
Tunaamini umefika salama kwa mungu baba hakika kama...
Habari wakuu.
Samahani nina shule inayojishughulisha na utoaji elimu kwa watoto wa chekechekea.Ni mpya imeanza mwaka huu.Kutokana na plan za muda mrefu zilizopo nahitaji kuweka mifumo mbalimbali angali bado mapema.
Naomba kujuzwa mifumo ya kihasibu inayotumika mashuleni hasa nursery and...
Wengine hatuongeagi ila next time usiulize maswali ya kcenge kama haya. Unaboa phala ww,ukiwa unajisikia kutuma tuma ikiwa hujisikii basi kausha sio kuuliza maswali maswali ya kiwaki.
JBourne59 Mzee wetu vijana wako tunakuheshimu sana. Ni kweli tunajua umetingwa sana lakini dah.Ubora wa kazi zako unatufanya tuteseke na arosto kali sana.Tafadhali na wewe jaribu kutumia hekima na busara zako kutupia hata episode mbili tatu kupoza hii arosto.
Id Mpya ila mtu ni yuleyule. 🤣🤣🤣🤣🤣 wewe ulitangaza kuacha kubet, umeona aibu kurudi kwa ID yako ileile umesahau kwamba mwandiko wako tunaujua bwashee usijifanye mgeni wa betting 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Habari! Wakuu naomba kujuzwa au kufahamishwa. Kutokana na nature ya kazi yangu imenifanya kuwa kilasiku nakunywa sana energy drinks tofauti tofauti mfano Azam energy (ya chupa na ile ya can), mo energy, monster, redbull, jembe etc.
Nina siku ya 4 leo toka nimeanza zoezi la kuacha kunywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.