DOKEZO
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 322
- 486
Habari wakuu.
Samahani nina shule inayojishughulisha na utoaji elimu kwa watoto wa chekechekea.Ni mpya imeanza mwaka huu.Kutokana na plan za muda mrefu zilizopo nahitaji kuweka mifumo mbalimbali angali bado mapema.
Naomba kujuzwa mifumo ya kihasibu inayotumika mashuleni hasa nursery and primary school.
Ahsanteni
Samahani nina shule inayojishughulisha na utoaji elimu kwa watoto wa chekechekea.Ni mpya imeanza mwaka huu.Kutokana na plan za muda mrefu zilizopo nahitaji kuweka mifumo mbalimbali angali bado mapema.
Naomba kujuzwa mifumo ya kihasibu inayotumika mashuleni hasa nursery and primary school.
Ahsanteni