Nawezaje kusafisha mwilini sumu ya energy drinks?

DOKEZO

JF-Expert Member
Jan 17, 2014
322
486
Habari! Wakuu naomba kujuzwa au kufahamishwa. Kutokana na nature ya kazi yangu imenifanya kuwa kilasiku nakunywa sana energy drinks tofauti tofauti mfano Azam energy (ya chupa na ile ya can), mo energy, monster, redbull, jembe etc.

Nina siku ya 4 leo toka nimeanza zoezi la kuacha kunywa vinywaji hivyo pendwa. Ninachoomba ni kuelekezwa namna yoyoye ya kuondoa zile sumu ambazo tayari zilishaingia mwilini mwangu.

Natakiwa nifanyaje?
 
Acha kudanganyika.
Mwili wa binadamu hauwezi kuishi na sumu mwili, kama ni elite rejea elimu yako ya Biolojia mada ya "Excretion".

Kazi ya Ini, Figo, Ngozi, Kinyeo, ni kutoa taka mwili zikiwemo kemikali na sumu mbali mbali kama Ammonia.

Kama ulikua na tabia ya kunywa Energy drink jua zilishaondolewa kwenye mwili wako na hazipo tena, na kama zimeacha damage basi itaji reverse sababu umeacha kutumia vinywaji hivo, pia usitishwe na chapisho la "Case Study" ya mgonjwa mmoja ambae alikua ana Abuse Energy drinks kwa kunya mpaka chupa tano kwa siku.

Fata recommendations siku zote zinazotolewa na bidhaa yoyote, kama ushaambiwa usizidishe Chupa Mbili kwa siku za azam energy, basi tii matakwa ya watengenezaji.

Na hii kanuni inaendelea kutumika kwa Sigara na Pombe vyote huwa vina Onyo na ni juu yako wewe kufata au kutofauta ila wao au bidhaa zao hazitokua za kulaumiwa.

Nkutakie kazi njema.
 
Acha kudanganyika.
Mwili wa binadamu hauwezi kuishi na sumu mwili, kama ni elite rejea elimu yako ya Biolojia mada ya "Excretion".

Kazi ya Ini, Figo, Ngozi, Kinyeo, ni kutoa taka mwili zikiwemo kemikali na sumu mbali mbali kama Ammonia.

Kama ulikua na tabia ya kunywa Energy drink jua zilishaondolewa kwenye mwili wako na hazipo tena, na kama zimeacha damage basi itaji reverse sababu umeacha kutumia vinywaji hivo, pia usitishwe na chapisho la "Case Study" ya mgonjwa mmoja ambae alikua ana Abuse Energy drinks kwa kunya mpaka chupa tano kwa siku.

Fata recommendations siku zote zinazotolewa na bidhaa yoyote, kama ushaambiwa usizidishe Chupa Mbili kwa siku za azam energy, basi tii matakwa ya watengenezaji.

Na hii kanuni inaendelea kutumika kwa Sigara na Pombe vyote huwa vina Onyo na ni juu yako wewe kufata au kutofauta ila wao au bidhaa zao hazitokua za kulaumiwa.

Nkutakie kazi njema.
Umenena vyema... Ila hata akifata recommendations still effects zipo pale pale though ni taratibu sana
 
Habari! Wakuu naomba kujuzwa au kufahamishwa. Kutokana na nature ya kazi yangu imenifanya kuwa kilasiku nakunywa sana energy drinks tofauti tofauti mfano Azam energy (ya chupa na ile ya can), mo energy, monster, redbull, jembe etc.

Nina siku ya 4 leo toka nimeanza zoezi la kuacha kunywa vinywaji hivyo pendwa. Ninachoomba ni kuelekezwa namna yoyoye ya kuondoa zile sumu ambazo tayari zilishaingia mwilini mwangu.

Natakiwa nifanyaje?
Kwa nini uache kinywaji pendwa.
 
Nchi ina wajinga wengi hii sijawah ona...

Kwahiyo mkuu unaamini Energy drink ni sumu na inajikusanya mwilini?
 
Acha kudanganyika.
Mwili wa binadamu hauwezi kuishi na sumu mwili, kama ni elite rejea elimu yako ya Biolojia mada ya "Excretion".

Kazi ya Ini, Figo, Ngozi, Kinyeo, ni kutoa taka mwili zikiwemo kemikali na sumu mbali mbali kama Ammonia.

Kama ulikua na tabia ya kunywa Energy drink jua zilishaondolewa kwenye mwili wako na hazipo tena, na kama zimeacha damage basi itaji reverse sababu umeacha kutumia vinywaji hivo, pia usitishwe na chapisho la "Case Study" ya mgonjwa mmoja ambae alikua ana Abuse Energy drinks kwa kunya mpaka chupa tano kwa siku.

Fata recommendations siku zote zinazotolewa na bidhaa yoyote, kama ushaambiwa usizidishe Chupa Mbili kwa siku za azam energy, basi tii matakwa ya watengenezaji.

Na hii kanuni inaendelea kutumika kwa Sigara na Pombe vyote huwa vina Onyo na ni juu yako wewe kufata au kutofauta ila wao au bidhaa zao hazitokua za kulaumiwa.

Nkutakie kazi njema.
Nakaza hapa📌
 
Back
Top Bottom