Wakuu habari za leo
Mwanangu wa mwezi mmoja anatokewa maziwa puani hali hii imejitokeza wiki ya pili toka kuzaliwa kwake.
Sasa jana imeenda mbali yametoka mpaka maskioni .
Wakuu nini kinasababishwa na hii hali.
On my way to hospital.
Je kuna mdau ameshakutana na hali kama hii nipo njia panda.
Ndugu zangu wapendwa kuweni makini na wasichana wa kazi za ndani.
Kuna mama mmoja kaletewa house girl akaishi nae miezi 8 nyumbani kwake hapo jana mama huyo akaibiwa baadhi ya vitu vyake baada ya kumuuliza huyo dada wakazi 'nani kaiba na wewe ndie ninaekuachia nyumba' yule mfanyakazi hakutaka...
Ifahamike kuwa kuanzia tarehe 11 hadi 20 ya kila mwezi wa nne kila mwaka huwa ni siku mahususi za kutoa sadaka (kafara) kwa Wajenzi Huru katika lugha ya kigeni ( Freemasons ) kwa kile kinachoamika kuwa ni utekelezaji wa agizo ambalo mwanachama (member) hulikubali mara ya kwanza anapokuwa...
Mstahiki meya nimerudi tena jamvini...hakika nimerudi....natumai wote wazima humu....Nimerudi na swali moja tu mengine yatafata baadae......ACT WAZALENDO kwa hapa dar makao makuu niwapi....
ahsanteni
MstahikiMeya
TAARIFA YA KIFO:Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa 10.35hrs askari no.G.4228PC. ALOYCE ambaye alikuwa dereva wa OCD-MANYONI alifika kwa armoury keeper na kumuomba amkabidhi silaha kwani anasafari na OCD,alikabidhiwa silaha aina ya SAR NO.10065077ikiwa na risasi kumi.
Aliondoka na silaha...
Unapenda Selfie?
Vingi vimesikika, wapo waliokamatwa
kwa sababu walipiga selfie maeneo
ambayo hawaruhusiwi kufanya hivyo,
hawa jamaa nao wamejikuta
wakipoteza kibarua baada ya kukiuka
maadili ya kazi yao kwakujipiga
selfie.
Ni madaktari na manesi, walikuwa
chumba cha operation Hospitali ya...
IDRISS, WEMA WAKUTWA POZI TATA
WEMA: AN HAPPY WITH HIS SUCCESS
IDRISS:WEMA NI KAMA DADA YANGU
DIAMOND AHAHA KUZUIA UKARIBU WA WEMA
NA IDRISS
IDRISS, WEMA SIYO SIRI TENA
MAMA WEMA: NAPENDA WAOANE KABISA SI
KUCHEZEANA
WEMA: IT WAS MY DREAM TO HAVE HIM IN MY
SOUL SINCE 2006
IDRISS AMTESA...
Aiseee nimepitia mitandao kadhaa pamoja na page ya bwana mkubwa Chriss Brown aisee ni sheeda, kamchana huyu bi dada karrueche, naskia kagonoka na Drake. Pitia clip hii Youtube juzi ijumaa kwenye show yake akatangaza yu Single na kumporomoshea mitusi bi shost loh!
Kweli ukistaajabu ya project...
Habari zilizotufikia hapa kwa sasa hivi imethibitishwa kuwa Waziri Mkuu amejiuzulu kutokana na skendo na kashfa zinazomsakama. Akiongea na waandishi wa habari kutoka USA, rais amethibitisha kuwa amepokea barua pepe iliyofatiwa simu kutoka Tanzania ikisema anaachia nafasi hiyo kwa maslai ya Kundi...
Ilikuwa asubuhi mida ya saa mbili Salma
alishtuka kutoka usingizini kutokana na
makelele ya mtaani kwao kinondoni shamba ''
Uswazi'', harakaharaka akatafuta shati na kanga
yake na kubeba ndoo za maji ili akachote maji
ambayo atayatumia kwa siku hiyo. Akiwa njiani
Salma alishtushwa na mlio mkali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.