MstahikiMeya
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 1,633
- 559
Husika na kichwa cha habari wakuu, ni hospitali gani nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa Dar
Shukran
Shukran
madona hosp pale tabata
husika na kichwa cha habari wakuu..nihosptl gan nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa dar
shukran
Husika na kichwa cha habari wakuu, ni hospitali gani nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa Dar
Shukran
Kama kweli upo serious na hili basi nione pembeni nikupe sehemu bingwa ya tohara
we mstahiki meya gan hujui haya mambo bana. ok nenda pale kkoo kwa Dr Abdul dakika 10 nyingi Sema watu ni wengi wah asubuhi
Kama kweli upo serious na hili basi nione pembeni nikupe sehemu bingwa ya tohara
Huyu Dr. ni bingwa wa mambo tohara kwa watoto, gharama ni 30,000/=
Husika na kichwa cha habari wakuu, ni hospitali gani nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa Dar
Shukran
Kariakoo mtaa gani kariakoo kubwa?
Sio mbali na kituo cha Bahresa ya hapo fire. Karibu na
Pride kariakoo ulizia hapo.
Husika na kichwa cha habari wakuu, ni hospitali gani nzuri kwa kufanyia tohara wototo wadogo hapa Dar
Shukran
we mstahiki meya gan hujui haya mambo bana. ok nenda pale kkoo kwa Dr Abdul dakika 10 nyingi Sema watu ni wengi wah asubuhi
Mdogo ana miaka mingapi? Vibamia asili yake ni kuwahi kutahiri watoto. Be informed.
mchanga....nataka in sha allah awe amepona kabla ya arobaini
kwa tohara una unamaanisha nini? kwa maana hili neno mara nyingi hutumiwa kwa watoto kike au kwa watoto wa kiume pia ni tohara?
labda nitumie neno kutahiri