Ki kweli napenda uwe na furaha, sitaki kukuumiza na wala sipend ukasirike. Tafadhali nisubiri nimalize shughuli zangu, nipe walau miaka miwili nami nitakuwa tayari kuwa na wewe.
Ukiwa nami kwa sasa utaumia tu, nipo busy sana sina nafasi ya kukupet pet.
Please kama wanipenda kwa dhati nisubiri...
Habari zenu Guys, miss u so much.
Natumaini wote mko poa.
Jamani mwenzenu nimempenda Mkaka, mbaya zaidi tupo ofisi moja kila ninapomuona nashindwa kufanya kazi, natamani ajue lakini tunaheshimiana sana.
I don't know what to do.
I am in love.
Napenda kuwataarifu kwamba, Sitakuwepo katika JF Mpaka pale World Cup itakapoisha... maana naona ushirikiano umekuwa hafifu, watu hawachangii tena threads zingine... kila mmoja yupo busy.. kutokana na hivyo nami nimegundua cause... Niseme tutaonana after World cup. Love YOU Guys...!! Bye!!!
Hi Guys...... ts a beautiful morning...!
Jamani i'm so busyyyy..... hadi nahisi nitafia bafuni...
Kazi nyingi...... muda wa kurefresh sinanikipata ndo kama hivi...... dah!
My Future Bf... hapendi kuniletea Gift;
Anazidi kuniongezea stress hata kukubali proposal yake nashindwa....
Mi...
Umekuja na machozi yakunilizaliza kazi siwezi
Umejificha kwenye mapenzi unavyoumizaumiza moyo na maradhi.....
Maumivu niacheee..... maisha mapya ya furaha nianze
Maumivu niacheee......... na mimi nahitaji nafuu nipate...
Nilijificha kwenye mapenzi uliponikuta ukanitoa na machoziii
Ukanipora na...
Tena nasema sipendi na sitaki msione nawanyamazia na kukata simu sipendi sema tu siwezi kutukana. Unapiga simu usiku badala ya kuongea mambo ya maana unataka kujua nimevaaje, he! itakusaidia nini wewe, am i your Girlfriend?
Hata nisipovaa haikusaidii kitu, na hata nikivaa overall usiku...
Jamani nguo za ndani ni muhimu sana. Kwa mdada unapaswa kuwa safi muda wote usifikiri kwamba hakuna atakaye kuja kuona ndani umevaa nini, ya dunia mengi ipo siku usiyojua unaweza ukaumwa ghafla ukasaidiwa na watu wengine ndipo utaona aibu.
Shame on you mnaovaa pichu hadi zinachanika lakini bado...
Ni msichana wa ajabu sana, hapendi kuvaa nguo... muda wote anatamani awe uchi.... ukimkuta chumbani kwake ni uchi... i mean uchi bila piccchu...... yani kabisa... na siku akibaki nyumbani peke yake anashinda uchi na kama ukirudi ghafla utamkuta uchi.... mbaya zaidi cousin wangu ni wa kiume, na...
I hate this..! nani kawaambia nataka kuona dushelele? yani kila nikisign in nakuta mijitu inataka kuniadd then niki wavideo call, wananionesha midushelele... i hate it...! midudu yenyewe mibovu sitaki kuiona wala kujua ukubwa wa midushelele.... wa Boyfriend wangu utanitosha kama nikimpata...
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.