Price
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 1,502
- 918
Kuna raha gani ya kufanya mapenz kwa njia ya simu, iwe kwa kuongea au kwa kutumiana msgs.... coz sielewi... Jana nilipata mgeni, ni rafiki yangu wa Kike.. bahati mbaya alikataa kulala chumba cha wageni kwa kigezo kuwa anaogopa kulala peke yake.... Jamani usiku sijalala...! Mwenzangu anasex na boyfrnd wake kwa simu hadi nikawa simuelewi... na kabisa anaonesha vitendo... nikahama chumba kumpisha cz akiambiwa vua nytdress ye anavua kweli... Dah!