Maumivu niache!

Maumivu niache!

Price

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
1,502
Reaction score
922
Umekuja na machozi yakunilizaliza kazi siwezi
Umejificha kwenye mapenzi unavyoumizaumiza moyo na maradhi.....

Maumivu niacheee..... maisha mapya ya furaha nianze
Maumivu niacheee......... na mimi nahitaji nafuu nipate...
Nilijificha kwenye mapenzi uliponikuta ukanitoa na machoziii
Ukanipora na furaha, ukanipa upweke kupenda siwezi


Naukubali sana huu wimbo....!!! Big up artist.... i don know how to write your name
cc: miss chagga amu miss neddy...
============================== ===
 
Last edited by a moderator:
Umekuja na machozi yakunilizaliza kazi siwezi
Umejificha kwenye mapenzi unavyoumizaumiza moyo na maradhi.....

Maumivu niacheee..... maisha mapya ya furaha nianze
Maumivu niacheee......... na mimi nahitaji nafuu nipate...
Nilijificha kwenye mapenzi uliponikuta ukanitoa na machoziii
Ukanipora na furaha, ukanipa upweke kupenda siwezi


Naukubali sana huu wimbo....!!! Big up artist.... i don know how to write your name
cc😡miss chagga amu miss neddy...
Very beautiful and moving song Price I agree with you.Mtunzi na mwimbaji Kadija ana kipaji maridadi.Video ya huo wimbo inaamsha hisia kali sana.
 
Last edited by a moderator:
Shabash! Price. Umefanya editing ya maana kwa kuiweka hiyo video.I love it.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom