Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga amewakamata na kuwaweka ndani wakuu wa shule 3 za sekondari kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wamewekwa ndani kuanzia tarehe 8/11/2021.
====
UPDATES:
====
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii...
Wana Jamii.... Me huwa sihoni anachochekesha huyu "Boya" sio lugha nzuri.....Mc Pilipili...Hivi huwa anachekesha nini....nadhani kwa watu wa karibu nae wamshauri afanye shughuli nyingine...maana... Mara 100 niangalie video ya marehemu Kinyambe(Sikumkubali pia R.I.P) Kuliko huyu jamaa.
Mdogo wangu kamaliza kidato cha IV mwaka 2018 kapata Div III 23 ANA C CIVICS ,C ENGLISH, B KISWAHILI, C BIOLOGY, D HISTORY, D GEOGRAPHY, D MATHS. Je anaweza jiunga Form V na Comb zipi????
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu tafadhali...Nahitaji kuandika heading fulani ila kwa nyuma (background) niandike vimaneno vidogo vidogo ambavyo vitaonekana kwa mbaliii(Mwenekano hafifu).
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah. ..leo kwa mara ya kwanza najuta kwanini sikumpa kura huyu mzee..pamoja na yote nakumbuka ahadi yake ya kufuta madeni yangu ya bodi ya mkopo. Magufuli ...this is too much!!!!....
Ongezeko la mshahara hakuna halafu umepunguza 108, 000/= kwenye mkate wangu. Sio kwamba matajiri waishi kama...
TANGAZO KWA UMMA: KUHUSU WAHITIMU WA SHAHADA NA STASHAHADA ZA UALIMU (SAYANSI) WALIOTAKIWA KUWASILISHA VYETI
TAREHE 12/12/2016 WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILITANGAZA KUWA WAHITIMU WA STASHAHADA NA SHAHADA ZA UALIMU KATIKA MASOMO YA SAYANSI (FIZIKIA, KEMIA, BIOLOJIA) NA HISABATI WA...
Ali Kiba received a king's welcome when he arrived in Kenya for the third cycle of the Coke Studio Africa Recording earlier this week, but that was nothing compared to the love that Kenyans on social media showed him as he was interviewed by Lillian Muli for #OneonOne .
His name shot to the top...
Tarehe 30/6/2015 ilikuwa ndio mwisho wa kukabidhi maabara baada ya muda kubadilishwa zaidi ya mara 1, kwa visingizio kibao. Kiukweli lengo lilikuwa zuri pamoja na kupitia ujenzi huu kuna watu wamejinufaisha, upatikanaji wa fedha ulikuwa wa kimagumashi, hii imepelekea watu kufikia hata hatua ya...
Majambazi wamevamia NMB Mkuranga, Wameua askari na kutokomea na fedha.
============================
Update
Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani, Jafary Mohamed, ameithibitishia JamiiForums kutokea kwa tukio hilo na kwamba sasa anajiandaa kwenda katika eneo la tukio.
"Ni kweli nimepata taarifa...
Wakuu kwa aneyejuwa, je umbali wa barabara na kiwanja unatakiwa uwe vipi? Unaanza kupima wapi? Umbali huo hupimwa upande upi wa barabara? (TANROADS, SHERIA NA TARATIBU ZA ARDHI)
Nawasalimu kwa jina la BRN....moja kati ya halmashauri ya kiuni ni hii ya Mkuranga..kulikuwa na semina ya walimu iliyokuwa chini ya British council but dakika za mwisho wajanja wamepiga ela na kupeleka mavitabu ya baseline mashuleni bila mwongozo wowote..
Dah hawa watu hawana huruma matonge...
Wanajukwaa nilipokuwa ninaambiwa halmashauri zetu hasa za mijini zimejaa viongozi wezi, wadokozi wasio na huruma nilibisha. walimu wengi wanalalamika ela zao za kujikimu kuchakachuliwa na maafisa wa elimu wakishirikian na viongozi wengine wa halmashauri.
Wengine hadi leo wanaambiwa...
kwenye hotuba yake ya mwezi uliopita J.K alinukuliwa akisema serekali itaajiri walimu zaid ya elfu 30 mwezi wa januari..... ili januari ndio hiyo inaaga. dah.. tired!!
Wakuu hali ni mbaya sana kitaa, siku zinasonga kila mtu anasema lake,tetesi zimekuwa nyingi. maisha nimeyaendesha kwa kubet(Mikeka) lakini siku za karibuni naona nyota haipo upande wangu. Mwenye taarifa sahihi na ajira mpya za walimu..lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.