MPARE KIBOGOYO
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 404
- 258
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga amewakamata na kuwaweka ndani wakuu wa shule 3 za sekondari kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wamewekwa ndani kuanzia tarehe 8/11/2021.
====
UPDATES:
====
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bi. Mwantum Mgonja kuwaweka ndani Walimu wakuu wanaozembea katika kusimamia Ujenzi wa madarasa.
Amesema yeye ndiye aliyeagiza walimu hao kukamatwa na sio Mkurugenzi
====
UPDATES:
====
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bi. Mwantum Mgonja kuwaweka ndani Walimu wakuu wanaozembea katika kusimamia Ujenzi wa madarasa.
Amesema yeye ndiye aliyeagiza walimu hao kukamatwa na sio Mkurugenzi