Katika muendelezo wa mapambano huko Ukraine tumeona Urusi inavyopata ushindi kwa tabu sana kutokana baadhi ya nchi za magharib kuendelea kumpa siraha rais wa ukraine kitu ambacho kitafanya hii vita ichukue mda mrefu sana.
Hivyo Basi kama Putin hatofanya maamuzi ya haraka kumkimbiza yule...
Tunaitaji kijna mwenye ujuzi wa kuandaa michoro ya 3D,
Sifa asiwe mwajiriwa sehemu yeyote pia awe teyari kufanya kazi na ktk ofisi yetu Kama mwajiriwa.aliyeteyari tuwasiliane inbox.
Ndugu zangu takriban nina siku mbili Sasa nimekosa kuhisi harufu Wala laza ya chakula ingawa leo kidogo laza imekuja kwa mbali snaa ila harufu bado sijaweza kuhis nitumie dawa gan?
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka anaitajika mtu mwenye uwezo wa kuandaa michoro ya picha.
Sifa uwe na PC pia uwe na speed ya kuandaa michoro isiyopungua mitatu kwa siku Kama unajiona unaweza basi tuwasiliane kwa namba 0783598512
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu naomba traffic mliopo njiani mlikague hili basi spring za mbele zina viraka zote hivyo kuweza kuhatarisha usalama wa abiria na tayari zimeanza kuvunjika. Ndugu yangu amekaa garage kwa masaa zaidi ya matatu wakisubiri ziungwe tena ili safari iendelee.
Habari zenu wadau, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata viti vya massage naomba anijuze bei na wapinaweza kuvipata.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba inàpangishwa self container
Inàvyumba vitatu kimoja master,parking kubwa luku na maji yapo ,nyumba IPO karibu na kituo cha dalàdalà na kanisa la mwamposa,kodi 300,000/ 0713507156 au 0684874573
Habari wadau?kama kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo juu,mwenyekufàham yanapouzwa maderi ya kuhifàdhià vinywaji baridi naomba anijuze aina ya madeli yawe kama ya AZAM UKWAJU yenye kubebeka,ntashukuru kwa ushirikiano wenu,
Wadau kama kichwa cha habari kinàvyosema natafuta maderi ya kuhifazia vinywàji baridi yawe ya kuyavaa mgoñgoni au kifuani mfano kama Yale wànayouzia AZAM UKWAJU.Mwenye kufàhm yanapopàtikàna naomba anijuze please.
Kama kichwà cha habari kinavyosema hakika kunakitu hakipo sawa kwàmawàzo yangu kuhusu sherià ya ajira Hapa nçhin ,hakuna asiyejua kwa sasa ajira zimekua shida hapa kwetu husan ktk sekta ya elimu ,jambo la kuumiza wenzetu kule pwani Zanzibar wàmetangaza ajira lakini wameweka mashàrt lazima uwe...
Kama wewe ni kijana umemaliza form four au six huna ajira Na upo teyari kufanya kazi za masoko hapa daresalam tuwasiliane kabla tar 14/January wasichana watazingatiwa 0712804065
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mwenye kuitaji Nyumba ya Nyumba viwili kimoja master Na sebure kubwa inapangishwa KAWE,Nyumba inaumeme,MAJI,pia IPO karibu Na Barabara Mkuu dk 3 hadi nyumbani,kodi 200,000/ inaongereka kidogo 0718721295
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mwenye kuitaji Nyumba ya kupanga maeneo ya KAWE tuwasiliane,Nyumba inavyumba 2 sebure Na Choo master Umeme Na MAJI kaibuni kodi tsh 200,000/ kwa mwezi anapokea hadi miezi 6.Na inazungumzika pia.0718721295
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana jf,naomba niwape taarifa kampuni ya maji safi dawasco kwamba kuna bomba lao limepasuka hapa nyerere road opposite na kampuni ya sigara karibu na ofisi ya UBA linamwaga maji mengi sana leo ni siku ya nne kama sio tano kwahyo mje kulilekebisha.asnteni.
Wanandugu salam kwenu,nataka niende tanga nikatafute mke lakini bado sijajua ni tanga ipi inawanawake wazuri,kianzia sura,tabia,na maumbo na sifa zingine zote zinazostahili kua nazo?
Habari zenu wadau hivi ule mpango wa serikali wa kutaka kuwaajiri walim wa digree kufundisha primary umeishia wapi maana tumekua tunausubili kwa hamu sanaa bila mafanikio,sasa kama kuna mtu anaweza kua na ABC za kutufariji atueleze hapa.
Habari zenu wadau:hivi ule mpango wa serikali kuajiri walimu wa digree kwenda kufundisha primary uliishia wapi? Maana tunasota sana kitaa kazi hamna,mtaji hamna,fani inatutoka basi tunachanganyikiwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.