Habari za skukuu wapendwa! Natumai mmeenjoy vya kutosha
Back to the topic!!!!!!
Hivii kweli mtu anaweza akamroga mwenzake ili ampende??
Leo asubuhi nimekuta msg kwenye inbox Fb yangu from this dude, nsingependa kumwongelea sana; inasema hivii
"Wallahy km utaendelea hv me bora...
so I'm a Christian and my belief is to
not have sex before marriage, but
i'm 22, never had a bf, and having a
strong desire to have sex and it's
getting worse, to the point that i
want to get together with any
random guy and just have sex to get
it over with a feel good. but then i
don't...
Yani kusema la ukweli Voda nimewachoka!
network zenu zipo very poor, nikituma msg inagoma kwenda eti "network conjestion"
Naeza nkamtext mtu msg ikafika baada ya masaa wkt simu ya huyo mtu IPO on
Mtu anaeza akanitxt msg ikafika baada ya siku 3
Voda mnanikata stimu
Daah nimechoka
"I'm here to tell you, though, ladies
that the term "gold digger" is one
of the traps we men set to keep
you off our money trail; we
created that term for you so that
we can have all our money and
still get everything we want from
you without you asking for or
expecting this very basic...
Tunafahamiana mda sasa
Ni rafiki yangu wakaribu sana na tunashirikiana ktk mambo mengi
We are so very close kiasi kwamba ishu zake zote nnazo mimi, na zangu anazo
akigombana na girlfriends zake mie ndo naombwa ushauri, ntafanyaje kama rafiki siwezi kumuhukumu eti ana wapenzi wengi coz...
Hili swali linanichanganya, nimejaribu ku-google sijapta jibu linaloelewekaa
Nawasilisha kwenu wasomi
"What are the biological significance of protein being amphoteric
in living organisms??""
Habarini zenu wadau
Hivi huyu jamaa Mazabzab (sujui kama nimepatia jina lake) A.K.A mgegedaji maarufu yuko wapi siku hizi
Simuonagi humu
Au ana I'd mpya?
Aisee kama upo know. That your being missed lol
NB kabla hamjamake conclusion zenu nimemiss michango yake tu.
Unakutana na mtu jinsia tofauti
Anakuomba # ya simu,
Katika dunia ya sasa kumwambia mtu huna simu ni uongo usio Hata na chembe ya aibu
Huna jinsi unatoa tu kishingo upate
Anaanza kukutafuta
Mnachat
Mnazoeana
Kama mwanamke anaanza kukutangazia shida zake
Mara oo...
Hii kitu inaniboa sana
Usichat na jinsia tofauti tu basi kosa, akikuzoea Mara aanze I want to lick u, Mara oo umevaa nini, sijui umelalaje
Jamanyy hizi social media zimenichosha coz ya hii kitu
We kama unataka game just tell me
Tupange date
Ishu za kutiana genye zisizo na...
I can say today was a dark day for me, thank God imepita
Kama sio dis song nahisi ningefanya maamuzi ambayo ningejutia sana
Always remember wenever u face an an impossible situation "Ther is a hero inside ur heart"
Dedication
MARIAH CAREY-HERO
There's a hero
If...
Habari zenu wasomi wetu
Hivi Kati ya physics na geography ni somo lipi unaweza kumshauri mtu kulisoma advance level??
Napiga PCB alaf kama physics haisomeki Kabisaaa kwangu, najaribu kufikiria kuopt geography , maana sioni sababu ya kusoma kitu ambacho ntaambulia F mwisho WA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.