Search results

  1. M

    Siku ya 18 ya uzazi

    pia mimi nimempigia mganga akaniambia inaweza kutoka hadi kuja kukutana tena na damu ya hedhi ya mwezi kwa hiyo inawezekana kuna kaukweli
  2. M

    Siku ya 18 ya uzazi

    mamaaaaaa mbona nimeshaharibika kama ndo hivyo
  3. M

    Msaada: Dawa ya kutibu jipu

    kolgeti ndo inatumbua vizuri
  4. M

    Siku ya 18 ya uzazi

    asante mpendwa
  5. M

    Siku ya 18 ya uzazi

    Wapendwa herini ya krismas Naombeni msaada kwa yeyote anayejua mimi nilijifungua leo ni siku ya kumi na nane na uchafu bado unaendelea kutoka je kuna tatizo kiafya?
  6. M

    Makabila ya Tanzania: Tamaduni zao na Historia yao

    acha uongo bhana naare na mchaga wapi kufanana labda kidogo machame ndo wanalandana
  7. M

    Rais Paul Kagame wa Rwanda, akagua gwaride la Jeshi la Tanzania (JWTZ)

    ndo mana ikawa gwaride ulitaka watumie zipi unazofahamu wewe
  8. M

    Kuna Moderator wa Jamii Forums wa kike?

    Mletaada hebu jichungulie hivi wewe ni ke au me ukipata jibu urudi hapa
  9. M

    Mwanamke huyu hasikii

    mmarangu! kafanya nn? labda kikwenukwenu kwani wamarangu tuko poa saaaaaana
  10. M

    Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha

    jeshi lenye maamuzi sahihi huwa halirudi nyuma
  11. M

    Uongo na Hadithi za Kutungwa vilivyogeuka ukweli wa Dunia Kumuhusu Samaki Mtu

    jamani hawa viumbe mbona wapo.na si samaki kama hao wasemavyo bali ni DJINN yaani JINN na kwa macho ya kawaida huwezi kuwaona ni ki spiritual zaidi.ila wapo hilo halina ubishi na hao wanaosema ni wakike tu si kweli sema labda wao huofia kuwavua wa kiume kwa woga wa kuzidiwa nguvu maana viumbe...
  12. M

    Natafuta kazi ya kujitolea, Clearing and Fowarding

    mie mtoto wa kijijini nina elimu ya fm 4 utakubali nikuajiri katika kampuni yangu?
  13. M

    Simuelewi mpenzi wangu huyu

    kwikwikwiiiiiiiiii ati mudy mwizi wewe ndo mwizi anayetajwa ndo mwenye mke.kama vipi
Back
Top Bottom