Natafuta kazi ya kujitolea, Clearing and Fowarding

mavado

JF-Expert Member
Jun 25, 2014
1,153
794
baada ya kuapply sana job na kuzikosa mtoto wa mkulima jameni naomba msaada wa kuvolunteer katika clearing & FORWARDIN COMPANY au popote tuu , nina degree ya public realtions call me on 0767328063 , tafathali nisaidieni.
 
baada ya kuapply sana job na kuzikosa mtoto wa mkulima jameni naomba msaada wa kuvolunteer katika clearing & FORWARDIN COMPANY au popote tuu , nina degree ya public realtions call me on 0767328063 , tafathali nisaidieni.

Kaka soma post graduate education, ndio ajira iliyo back
 
Public relations..... Na unataka KAZI.... Ya clearing and forwarding? Vijana Wang wa Leo vp tena?..... Hukuelimika
 
Public relations..... Na unataka KAZI.... Ya clearing and forwarding? Vijana Wang wa Leo vp tena?..... Hukuelimika

Nipe hio Kazi kama unayo!? Ndo maana nikasema nahitaji kuvolunteer ili nijifunze Kazi, kama Kazi ya ulichosomea hatupati ni bora ukatafuta ujuzi mwingine, maana ukinga'ng'ania ulichosomea unaweza toka hola... Otherwise nipe ushauri unaofaa, sio unalaumu tuu na ushauri huna
 
baada ya kuapply sana job na kuzikosa mtoto wa mkulima jameni naomba msaada wa kuvolunteer katika clearing & FORWARDIN COMPANY au popote tuu , nina degree ya public realtions call me on 0767328063 , tafathali nisaidieni.

Pole sana ila usikate tamaa one day utatoka na usali sana maana kazi za siku hizi ni kujuana sana
 
Siwezi fanya post graduate, coz kwa sasa elimu haina uhakika wa Kazi Bali experience inaweza kusaidia
 
Siwezi fanya post graduate, coz kwa sasa elimu haina uhakika wa Kazi Bali experience inaweza kusaidia

Mh! experience? Mi nakwambia dawa na Ku revenge shule tu, angalia hali ya interview utumishi 1 : 199
 
Mh! experience? Mi nakwambia dawa na Ku revenge shule tu, angalia hali ya interview utumishi 1 : 199

Watu wana masters na wako kitaa, it's all about who you know, not what u know... That how Tanzania is,
Wangapi wameajiriwa na wana elimu za kuunga unga tuu, wenye brain zao wanaambiwa wa jiajiri
 
Watu wana masters na wako kitaa, it's all about who you know, not what u know... That how Tanzania is,
Wangapi wameajiriwa na wana elimu za kuunga unga tuu, wenye brain zao wanaambiwa wa jiajiri

Nowadays in Tanzania it doesn't matter what you know but whom you know hata uwe na master's usipokua na connection lazima upate shida best solution ni Ku tafta alternative nyingine
 
Back
Top Bottom