Habari za asubuh wakuu... Naombeni msaada wa jinsi ya kuwapata wadada wa Malawi. Lengo ni kwa ajili ya kusaidia shughuli za nyumbani kwa aunt yangu.
Nasikia wapo wengi maeneo ya tegeta ila sina pa kuanzia. Msaada wenu plz
Wanabodi naomba msaada simu yangu ya Samsung galaxy mini s5570 ime freeze for two days now. Inawaka na kuzima kama kawaida ila tu touch screen hairespond. Nimejaribu kufanya hard reset sifanikiwi maana hainiletei hyo option.
Nimeclick volume button plus power bila mafanikio. Any help plz...
Habari wakuu.
Naomba mwenye kujua utaratibu wa kufuatilia uhamisho wizara ya afya anijfahamishe. Je ni nani anayehusika pale ninayepaswa kumwona?
Plz mwenye uelewa naomba unisaidie ili nishughulikie tatizo langu hili.
habari wadau,naomba kuuliza hivi wanaohusika na lupanga vituo vya kazi ni wizara husika au utumishi?
na je kama ninataka kuomba kubadilishiwa kituo cha kazi ni utaratibu gani natakiwa kuufuata? naombeni msaada wenu wakuu.
jiko linauzwa la much la kuchoma kuku. Lima uwezo wa kuchoma kuku 12 kwa nusu saa. linatumia gas.
Lina kioo kwa mbele hivyo linaonyesha kuku wakuzunguka kwa mbele.
Limetumika mwezi mmoja tu na limetengenezwa Italy. Bei ni sh.1.8m. nipo Dar.
kwa anayehitaji tuwasiliane tufanye biashara...
Habari wakuu,
Mimi nina restaurant ipo kwenye eneo ambalo ni very potential. ninahitahi mkopo wa million tano. naweka dhamana ya biashara yangu na vitu vyote.
Naomba mnifahamishe ni wapi naweza pata mkopo huo kwenye bank au hata MTU binafsi aliye tayari kunikopesha.
natanguliza shukrani.
Habari wakuu...samahani naomba mnijuze kuna email nimetumiwa na hii org kuwa natakiwa nifanye Aptitude test na wakanipa link ya centres ambazo nikishalipia wananitumia online test nafanya nawatumia wasahihishe.
Je kuna mtu anaweza share experience na mimi kuhusu hii kampuni na ofisi yao ipo...
habari wakuu..
naomba msaada jinsi ya kuroot hii simu Huawei Ascend pia niweke custom ROM.
cc: C6 chief-mkwawa NingaR C++ Etc etc plz help
Shukrani Sana.
wakuu.. kwa wauzaji wa laptop ninahitaji mini laptop kwa muuzaji yeyote anipe specifications na bei. ni kwa matumizi ya kawaida tu sina matumizi makubwa nayo.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.