Ndo natoka hapa muhimbili kumwona mgojwa huwezi kuamini hakuna umeme,
na generator yao ni mbovu, sijui inakuwaje ndo maana wakinamwandosya wanaenda India!
hii nchi watu wanaofikilia ni wachache sana inakuwaje umeme unakatwa na generator haifanyi kazi
tena sehemu muhimu kama hii ni bora...
Kama kawaida, dogo katoka shule ile anafika tu home mother wake akamkamata na kuanza kumuuliza walichofundishwa... Kwa comfidence dogo akamjibu tumefundishwa hesabu kwa kiingereze, so mother akaanza maswali...
Mother: TWO + THREE??!
Dogo akaskuti kidogo then akajibu: "..SON OF A BITCH ITS...
Uchaguzi umekwisha salama! TUNAMSHUKURU MWENYEZI MUNGU!
Woote tunajua katika kipindi cha miaka mitano iliyopita maisha yalikuwa magumu sana! (toa Mafisadi)
Woote tunajua uwezo wa JK ni mdogo kuliko maelezo, anamadhaifu mengi sana. Watanzania wenzangu tuache majungu sasa tujenge nchi yetu hatima...
Hapa sana sana ni Veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa Sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu...
Nimepata mail hiyo hapo chini nani anaweza kunidhibitishia ni saidieni wakuu sababu pressure inapanda nakushuka
Kikwete apewa report ya kura za Slaa
Habari zilizopatikana ndani ya kikao cha siri kati ya vigogo waandamizi wa usalama wa taifa,Kikwete na Kinana wiki iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.