Elections 2010 Chagua CCM, chagua Kikwete

Henge

JF-Expert Member
May 14, 2009
6,933
1,510
“Hapa sana sana ni Veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa Sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu chake,” alisema Kikwete bila kufafanua sababu za kutojengwa kwa Veta.
 
"Hapa sana sana ni Veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa Sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu chake," alisema Kikwete bila kufafanua sababu za kutojengwa kwa Veta.
1.Kampeni za maji taka!
 
Kikwete is very genius anasema hivyo kwa kuwa anajua watanzania wanadanganyika...
“hapa sana sana ni veta ambayo tuliahidi, lakini hatukuitekeleza. Sasa tutajenga katika miaka mitano ijayo, tutaweka umeme. Vijiji 13 vya jirani vitapata maji kwa kuwa sh428 milioni zimetengwa kwa ajili hiyo. Kuhusu elimu tunategemea mwaka kesho (2011), kila mtoto awe na kitabu chake,” alisema kikwete bila kufafanua sababu za kutojengwa kwa veta.
 
Back
Top Bottom