Hiyo ni story ya upande mmoja. Piga hesabu tu Countryboy ana nyimbo ngapi akiwa wasafi...!!?? Na kwa miaka mingap? Utaona kuna walakin kwenye hayo maneno yake..
Tuanze na walio athirika na harakati zao kabla hawajakamatwa.
1. Walio mwagiwa tindikali
2. Waliouwawa.
3. Na waumini wa kikristo waliochomewa nyumba zao za ibada huko zenji.
Tusibague wa kuwaombea.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.