Kuna kiwanja kinauzwa jirani mbezi Luis pr school, njia ya Goba unaingia Kama km 1 toka lami. 22*20m ni 12ml eneo lote limejengwa na nguzo ya umeme iko getini. Eneo limezungushwa nguzo na fencing wire. Anayeuza anamiliki nyumba hapo. Karibu
0752306076
Maeneo yanayofaa kwa makazi na mashamba yako kati ya kilometa 70 hadi 85 toka Dar es Salaam barabara ya kwenda Morogoro. Heka 15 kila heka 1 milioni 2 na laki 3. Heka 10 kila heka 1 milioni 2 na laki 5.
Heka 10 kila heka 1 milioni 3. Heka 20 kila heka 1 milioni 3 na laki 5. Na heka 500 zipo km...
Wakuu habari zenu,
niliwahi kusoma kozi mbalimbali miaka ya nyuma kupitia hawa watu ila kipindi hicho ilikuwa kwa njia ya posta.
sasa nilikuwa nataka kijana wangu asome tena na niliambiwa wako hapa Dar pia, najaribu ku google napata majibu siyo
kuna yoyote mwenye taarifa sahihi wako wapi hawa...
Kuku chotara wana mwaka mmoja na wanataga, ni chotara weusi jirani yangu anauza
wapo 35 bei anauza 13,000/= ni wazima hawana shida ila anahitaji banda kwa vifaranga
0713737813 au 0768737813. Karibuni
Ng'ombe jike wamaziwa wanauzwa. Mkubwa ana mwaka na miezi mitano, mdogo miezi kumi. Wanasubiri kupandishwa ni Ayshire. Anauza jumla 2:2 ml. Wapo mbezi Luis.
Wapo Dar nyuma ya interchick.
Kienyeji pure wamebaki 5 jogoo mmoja, tetea mmoja tayari anataga. Wako pia watano wa miezi 5.
Chotara wamebaki jogoo 3 na matetea 10 wote wana miezi 7 ndo wanatetea.
Sms 0767246949
Jogoo ni 15000 tetea kienyeji 12000 ukichukua wengi inapungua.
Habari wadau, mdogoangu anatafuta banda la kukodi afugie kuku 500 yaani wastani mita za eneo 50. Anapendelea maeneo ya Kihonda au jirani na hapo. Kama unalo au unamfahamu naomba wasiliana nae kwa namba hii 0683497690. Asante sana.
Habari wadau, nauza kuku chotara wana miezi 8. Ni wakubwa wanafaa kwa kula au kufuga maana majike wanataga na majogoo wanapanda
kwa wale wanaokuwa maeneo ya Posta mpya nitawaleta ijumaa kuanzia saa 9-11 jioni
Bagamoyo rd watakuwepo mbele ya Interchick muda utakaoomba.
Bei 12,000 jike 20,000...
Its a five room house built in 40 by 20m surveyed plot with a title deed.
Situated very near the Mbezi beach Africana road, good neighbourhood and surroundings.
The house needs finishing only plumbing and electric wiring ready.
Price is US dollar 400,000 but negotiable. Karibu!
Contact...
Habari jamani, ninauza machine hiyo ni nzima imetumika sio zaidi ya mwaka. Ilinunuliwa SIDO Moshi kwasasa ipo Dar.
sababu ni kuwa ninashughuli nyingi ninakosa muda wa kusimamia hii biashara. Bei ni tsh 800,000 (laki nane tu)
Wadau karibuni nimekutana na hii kwenye mail nimeona niwakumbushe na wengine nasi tuthubutu EAC ndiyo hiyo inakuja...
Diamond Jubilee Hall,
Dar-Es-Salaam, Tanzania
Pic | Map
24 - 26 September, 2011
10 AM TO 06 PM
Business Visitors Only
The Gateway To The 380 Million Consumer Market Of The...
A place known as Boko juu or Boko Chama, one Kilometer from Bagamoyo rd.
Good landscape and 25 to 22 metres.
Price: TSH 3,000,000
Phone: +255 712 597 718
Area 1544 square metres or (30 x 50 metres). Opposite the gate entrance to TAFIRI, a walking distance to Kunduchi beach Hotel.
Price: TSH 100,000,000
Phone: +255 784 524 775 or +255713247316
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.