Kiwanja kinauzwa Nyegezi, Mwanza

Mama Joe

JF-Expert Member
Mar 30, 2009
1,504
828
Kiwanja cha eneo 450 metres kinauzwa, kipo Nyegezi, Mwanza. Kiwanja kimepimwa na kina Title
Milioni 30 tu. Contact 0686383868
 
Nyegezi sehemu gani? Mkolani, kijiweni, malimbe, nyegezi kona, kwa kuzenza au wapi, hebu toa ufafanuzi tulinganishe bei na eneo..
 
Jirani na Nyabugoya shule ya msingi kama matatu unashukia kituo cha Kijiweni ni karibu na SAUT.
 
Kabla ya kununua hicho cha mama joe nitafute kwanza nikuonesha kimoja kiko hapo kijiweni, unaingia kama 1.5km ndani sqMtr 650, kinauzwa mil 11. Bargaining ipo.
 
Jamani viwanja vyenye title bei yake imepanda. Pia eneo hili linalipa ni karibu na chuo, hostel, frame, hotel, dispensary vyote vitalipa tu. Hata uku dar mbona vikipimwa vinauzwa kwa square metre. Kama una cash bei inaongeleka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom